Sambusa za nyama na juice ya matunda

Kataa ndoa hoyee! maziwa yapo kwa jirani ng'ombe wamfugia nani?
 
mwanaume unamiliki vipi kibao cha kusukumia chapati na kikunio cha nazi au mwenzetu ulishatupa taulo kitambo

sambusa zenyewe mbayaa
Hapo unashangaa mwanaume kumiliki vibao vya chapati na kikunio Nazi.
Tena hapo hapo unasonya Sambusa zenyewe mbayaa. Lakini unashangaa mwanaume kumiliki hivyo🤣🤣
Sasa ndio umefanya nini.
Si ndio lazima za mwanaume ziwe tofauti na za mwanamke.
 
wewe na mtoa mada wote tushawashtukia kitambo tu
 
Mwanaume unapata muda wa kupika hadi sambusa🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
mwanaume unamiliki vipi kibao cha kusukumia chapati na kikunio cha nazi au mwenzetu ulishatupa taulo kitambo

sambusa zenyewe mbayaa
Ni vitu vya kawaida sana ivyo ila wew unavitazama au unaviona kwa ubaya na ndio maana kwako kuwa navyo ni matusi
 
wewe na mtoa mada wote tushawashtukia kitambo tu
Shida mnapenda sana kumwaga matusi hapa jf kwa watu msio wajua wapi hapo nimekuita wewe kuja kusoma hapa kwenye hii thread nimekutag wapi?

Pia ukiona kitu upendezwi nacho una ignore bro si ipo hiyo sehemu fanya ivyo kulinda nafsi yako isipate makwazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…