Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Upo sawa mkuu ila nimeandika hiyo BTW kwasababu nimekuja kugundua watu wa kanda ya ziwa wana mfumo dume sana, kupika mwanaume wanashangaa sana, hata mtu akila kuondoa chombo tu hawezi na unakuta ni mazingira ya kazini mpo wanaume tu.Haha! mkuu wengine fani zao ni u chef ukute ndo alichosomea na anafanya maisha kupitia hicho so ilimradi havunji sheria mi sioni tabu!.
Kama upo peke yako ukiwa chap masaa mawili umemaliza kabisaHili jukwaa unalitendea haki sana mkuu... Process nzima hadi hiyo sambusa ikamilike inachukua muda gani?
Nataka kuja mwenyeweLeo namtuma boda akupitishie
Duh basi mimi nilikuwa nachuja mpaka nachoka nawekaga ivyo ivyo kuna siku kuna jamaa walinitembelea wakasema wamependa izo chenga nikaona kama inaongeza mvuto nikaachana nazoMimi huwa nasaga kwanza passion halafu nachuja na chujio la chai kutoa mbegu.
Halafu maji ya passion nachanganya na maembe nasaga tena.
Vidude vinakua havipo hata punje.
Hapa inatakiwa umiliki sio chini ya eka 1 nzima+ halafu jirani anakuwa kwa mbaliii....kelele sio nzuri.Arusha
Iyo mbaya ya kushindwa kutoa chombo ulicho tumiaUpo sawa mkuu ila nimeandika hiyo BTW kwasababu nimekuja kugundua watu wa kanda ya ziwa wana mfumo dume sana, kupika mwanaume wanashangaa sana, hata mtu akila kuondoa chombo tu hawezi na unakuta ni mazingira ya kazini mpo wanaume tu.
ndo inavyotakiwa usikute yeye anamix vyote! passion mara nyingi inakuwa blended peke yake halafu ndo unakuja kuimix, kuna matunda yakublend kwa kuyamix na mengine lazima uyablend peke yake.Mimi huwa nasaga kwanza passion halafu nachuja na chujio la chai kutoa mbegu.
Halafu maji ya passion nachanganya na maembe nasaga tena.
Vidude vinakua havipo hata punje.
Wengine huwa zinawaboa, nikiwemo mimi.Duh basi mimi nilikuwa nachuja mpaka nachoka nawekaga ivyo ivyo kuna siku kuna jamaa walinitembelea wakasema wamependa izo chenga nikaona kama inaongeza mvuto nikaachana nazo
Iyo imekaa poa karibu kabisaNataka kuja mwenyewe
kama ni kazini waandikieni warning letter wasilete ujinga..🤣Upo sawa mkuu ila nimeandika hiyo BTW kwasababu nimekuja kugundua watu wa kanda ya ziwa wana mfumo dume sana, kupika mwanaume wanashangaa sana, hata mtu akila kuondoa chombo tu hawezi na unakuta ni mazingira ya kazini mpo wanaume tu.
Kabisa hakuna muingiliano wa watu kabisa kumtafuta jirani unamtafuta kwa tochiHapa inatakiwa umiliki sio chini ya eka 1 nzima+ halafu jirani anakuwa kwa mbaliii....kelele sio nzuri.
Nimeichukua iyondo inavyotakiwa usikute yeye anamix vyote! passion mara nyingi inakuwa blended peke yake halafu ndo unakuja kuimix, kuna matunda yakublend kwa kuyamix na mengine lazima uyablend peke yake.
Nitarekebisha iyoWengine huwa zinawaboa, nikiwemo mimi.
Arusha bossMandhari nzuri sana,pande za wapi hizo mkuu?
Nishakushtukia ww n Mwl wa Hotel Management na apo ni hotelini izo za mambugani.Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama
MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta
Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406
Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu
View attachment 3235439
Nimepamiss hapo kwako ..kipindi Cha masika raha sana hapo ni pale kileleni 🥹🥹🥹Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama
MAHITAJI
Unga wa ngano
Nyama
Hoho
Karoti
Chumvi
Mafuta
Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri
Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza kukanda mimi natengeneza za kula mwenyewe so nilitumia unga nusu
View attachment 3235406
Baada ya hapo ngano yako ulio kanda ipumue kidogo kisha kata na utengeneze madonge kama ya chapati
View attachment 3235410
Baada ya hapo anza kusukuma moja moja iwe kama chapati hakikisha isiwe nzito
View attachment 3235415
Baada ya hapo andaa sahani pembeni weka unga kwenye sahani kisha weka chapati yako kwenye sahani
View attachment 3235418
Na ukiwa unaweka unazibebanisha juu yake unapaka mafut kama ivyo ili ukija babua inakuwa ni vyepesi kuzitoa
View attachment 3235420
Ukimaliza hapo chukua kidogo mimi nilichukua kama chapati tatu zikiwa zimebebana nikazisukuma tena
View attachment 3235421
Baada ya hapo unakata kwa njia ya msalaba kama hivi
View attachment 3235422
Baada ya hapo unaenda kubabua
View attachment 3235423
Weka pole pole ukimaliza kubabua njoo uziachanishe kama hivi
Baada ya hapo nikachukua nyama nilio isaga na kuikaanga nilichanganya pilipili karot na hoho
View attachment 3235430
Baada ya hapo chukua sasa vipande vyako na ulivyo achanisha kunja kama hivi View attachment 3235432na uweke nyama kidogo tu usijaze mpaka juu
View attachment 3235433
Na kunja vizur hakikisha hakuna pembe ya sambusa inayo weza fanya mafuta yaingie ndani
View attachment 3235435
Kisha zikaange kwenye mafuta yalio chemka ili zisinyonye mafuta na ziwe za kawahawia
View attachment 3235436
Zilikuwa mzuri sana
View attachment 3235437
Juice mnajua kusaga nitawapa mahitaji tu
Embe moja
Nanasi moja
Passion matatu
View attachment 3235439
Huwa inabidi kuwapa shit tu ndio mtu anaosha kikombe alichonywea chai. Ukikaa kimya wala mtu hajigusi.kama ni kazini waandikieni warning letter wasilete ujinga..🤣
sometimes you have to do double strain if you have two strainerDuh basi mimi nilikuwa nachuja mpaka nachoka nawekaga ivyo ivyo kuna siku kuna jamaa walinitembelea wakasema wamependa izo chenga nikaona kama inaongeza mvuto nikaachana nazo
Kabisa karibu tena ujeNimepamiss hapo kwako ..kipindi Cha masika raha sana hapo ni pale kileleni 🥹🥹🥹