Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Haya mambo ya kuovertake jamani. familia nzima imeteketea hivyo
 
Alilewa huyo, halafu haya mambo ya kusafiri pamoja familia ni hatari sana,,

R.I.P
 
Too painful,fikiria baba na watoto wake wanne,wanapoteza maisha kwa wakati mmoja!,hizi taarifa zikimfikia mke wa jamaa,daaa sipati picha dada wa watu alikuwa na hari gani!!
Inauma Sana Sana, ni majonzi kabisa
 
Wafiwa wote poleni sana Mungu awape nguvu na akawe faraja kwenu.

Marehemu wote wapumzike kwa amani.
 
Overtaking ndio chanzo cha ajali alikuwa anasababu gani ya kuwai mwisho wa siku kasababisha umauti wa watu 7.
Zaidi ya 70% ya ajali kwenye hii nchi chanzo ni wrong overtaking. Mtu hajaona mita mia mbele anaovertake tu.
Labda kwa sababu ya uzito, gari ikayumba na kuingia kulia. RIP kwa familia.
Uzito hauwezi kusababisha gari iyumbe, hata kama alikua amebeba vibonge.
 
corola imebeba watu saba? mhhhh. Wapumzike kwa amani, sote ni waja WAKE
 
Mwanga mpaka Hedaru ni eneo hatari sana kwa mwendokasi na kuna baadhi ya maeneo yake yamewekwa kabisa vibao vya hadhari. BTW alitoka Tanga nyumbani. Kuna baadhi ya maeneo siku ya kuondoka huagi kila mtu
Eti Bro Mshana ... mwanaume kulala kwa wakwee na kugegedana huwa inaleta madhara wakati wa safari?

Je ni kweli watu wa kaskazini wana imani mbaya pale familia inaposafiri katika gari/basi moja kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine hasa msimu wa sikukuu ama kuwapo na shughuli ya kifamilia sherehe/msiba?

nakubaliana nawe sio kila ndugu/jirani wa kumwaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…