Aache ombaomba afufue viwanda na biashara.Hii haijawahi kutokea, najua unajua lakini nakujuza ujue zaidi. Rais Samia amekusanya mabilioni ya dola kwa ajili ya nishati salama.
Kwa hakika Samia ndiye Rais mwenye ushawishi mkubwa duniani akitokea Afrika, ni lulu, ni almasi, ni mwamba kutoka Tanzania.
Mitano tena!? ahahaha, na hapa ipoo.
View attachment 2993081
Hii haijawahi kutokea, najua unajua lakini nakujuza ujue zaidi. Rais Samia amekusanya mabilioni ya dola kwa ajili ya nishati salama.
Kwa hakika Samia ndiye Rais mwenye ushawishi mkubwa duniani akitokea Afrika, ni lulu, ni almasi, ni mwamba kutoka Tanzania.
Mitano tena!? ahahaha, na hapa ipoo.
View attachment 2993081
SawaSasa hivi ni kiongozi wa dunia nzima kabisa, yote, kwa upande wa nishati, Umoja wa Mataifa wamemkabidhi kila kitu kuhusu nishati
Toka lini ibilisi akawa mtakatifu?
Mbona Israel Imekuwa kwa misaada ya US?HUWEZI KUIJENGA NCHI YAKO KWA KUPEWAPEWA TU NA KUTEGEMEA AKILI NA NGUVU ZA WENGINE.
Mitano tena kwa mama!