Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Mafi yako
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Atake asitake, tunamuongezea mitano tena.
 
Ang'atuke hata leo abaki mama bora na siyo bora mama
1446634139814.jpg
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Mwambie asistaafu sasa mpaka amalize Kulijenga lile Hekalu lake Kubwa analoenda Kulitembea mara kwa mara ( hasa Weekends ) baada ya Kuwanunua Watu pale Mbweni sawa?
 
Ni mama Samia mpaka 2030 ndio kituo Cha kupumzikia, Nafahamu kukubalika kwa mh Rais na watanzania kumewachanganya akili zenu ,hamuelewi hata mfanyeje maana mmeshaona na kutambua namna mh Rais anavyokubalika, mmeshaona namna upepo wake ulivyopenya katika mioyo ya watanzania, mmeshajuwa kuwa Hakuna mwenye ubavu Wala uwezo wa kusimama na Rais Samia jukwaaani,mmeshaelewa kuwa Hakuna mtu mwenye uwezo wa kumtikisa Rais Samia na mmetambua kuwa ushawishi wa Rais Samia suluhu Hassani Ni wakiwango Cha juu Sana na kwamba mioyo ya watanzania inasubiri tu muda ufike ili wampigie kura za Ndio kwa kishindooo
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Unaumwa we mwigulu nchemba
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Itoshe kusema wewe Ni mpumbavu..

Mlisema 2023 Ni Mwisho nasubiria kwa hamu.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejendarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.

Akiona huu uchumi wako hakawii kubadili katiba afie madarakani.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Saga sumu!!!!
 
Kuna unabii unanijia ntausema muda na majira yake ikifika
Huo utakuwa Si unabii, Unabii ni kutamka kuwa utatokea ukame na njaa Kali ktk Nchi muda ambao Kuna chakula tele na mvua ikinyesha na baadae ikatokea sawasawa na majira alosema Nabii.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Sukuma Gang mumeshaanza kuota ndoto. Mama yupo sana hamtakai rudini kwenu Burundi
 
Ni mama Samia mpaka 2030 ndio kituo Cha kupumzikia, Nafahamu kukubalika kwa mh Rais na watanzania kumewachanganya akili zenu ,hamuelewi hata mfanyeje maana mmeshaona na kutambua namna mh Rais anavyokubalika, mmeshaona namna upepo wake ulivyopenya katika mioyo ya watanzania, mmeshajuwa kuwa Hakuna mwenye ubavu Wala uwezo wa kusimama na Rais Samia jukwaaani,mmeshaelewa kuwa Hakuna mtu mwenye uwezo wa kumtikisa Rais Samia na mmetambua kuwa ushawishi wa Rais Samia suluhu Hassani Ni wakiwango Cha juu Sana na kwamba mioyo ya watanzania inasubiri tu muda ufike ili wampigie kura za Ndio kwa kishindooo
Bashiru ally amewambia muache ujinga wa kusifia Kila kitu, kwani yule Si ni CCM mwenzenu?

Au CCM Si moja tena?

Kifo Cha CCM ni INEVITABLE.
 
Back
Top Bottom