Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Samia hataki kabisa kusikia habari za urais 2025

Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Okay Bashiru!
 
Msikilizeni Kakurwa hapa kuna kitu huko ndani kwao

View attachment 2420578
Ningeshangaa kama Bado wangeendelea kukaa kimya ikiwa HOJA ya Bunge kupitisha idhini Kwa Serikali ikope Trilioni 10 bt Serikali ikaenda kukopa Trilioni 15.

Na pesa hizo hazijulikani zilipo, na Kwa miezi 18 tayar zimekopwa Trilioni 20.

Bado watatoka zaidi kusema maana haivumiliki nw.
 
Pia nimekuja gundua ULIMI una nguvu kuliko mlio wa risasi.

Binti ndogo akiita "Mwizi" inatosha kumfanya mtu mwenye miraba minne Mwizi Kutoka nduki.


Tusiache kutenda MEMA na HAKI na kutetea maskini na wanaoonewa maana tutalipwa Kwa wakati wake TUSIPOZIMIA ROHO!!!
 
Bashiru ally anashauri TUWAZOMEE na kuwakaripia wakitoka nje ya mstari Badala ya kuwapigia makofi Eti wanaupiga mwingi''.
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Una msagia sumu mama Samia wewe.
Asipogombea tutamlazimisha, atake asitake!
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Huu ni uongo wa mchana kweupeee pee

Angalia safu ya wagombea chaguzi za ndani ni wazi team imepangwa ikapangika.

Hiki ambacho mnamfanyia ni kumuwekea maneno mdomoni


Lakini furaha yetu ni kuona CCM inaachia nchi kwa wananchi kupitia sanduku la kura
 
Huu ni uongo wa mchana kweupeee pee

Angalia safu ya wagombea chaguzi za ndani ni wazi team imepangwa ikapangika.

Hiki ambacho mnamfanyia ni kumuwekea maneno mdomoni


Lakini furaha yetu ni kuona CCM inaachia nchi kwa wananchi kupitia sanduku la kura
Bila KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA hakuna SANDUKU la Kura.

Sanduku la kula limeibwa na CCM hivi karibu I wameonekana kutumia baadhi ya vifaa kwenye chaguzi zao zikiwa na NEMBO ya Tume.
 
Bila KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA hakuna SANDUKU la Kura.

Sanduku la kula limeibwa na CCM hivi karibu I wameonekana kutumia baadhi ya vifaa kwenye chaguzi zao zikiwa na NEMBO ya Tume.
Kataa CCM kuliokoa Taifa
 
Kutoka korido za CCM Chamwino, mama ameanza kuwaambia wandani wake kuwa habari za kugombea urais 2025 hataki kabisa kusikia, tena anadai Kama ingekuwa ni kitu chepesi basi angestaafu hata Jana. Madai yake makubwa ni jinsi kila Jambo analogusa linashindwa kabisa kufanyika.

Miradi iliyokuwa inaenda vizuri kabla ya yeye kushika usukani imekwama, Dar haina maji, nchi haina umeme. Watu wanajenga shade ya mlinzi kwa mil 11, watoto mikopo yao vyuoni haileweki, kwa mujibu wa ilani ya chama chake ilitakiwa vijiji vyote viwe na umeme lakini mpaka Sasa mambo yanasusua

Kitu kinachomuumiza mama akili ni jinsi gani anavyojitahidi kukopa lakini hela zikifika nyumbani hamna Cha maana kinachofanyika zaidi ya TRAB na TRAT.

Mama kaamua 2025 anarudi nyumbani kupumzika kulea wajukuu na kufanya majukumu mengine madogo madogo Kama ya usuluhishi wa kimataifa atakapochaguliwa na rais anayefuata.

Pia mama anataka legacy yake kubwa iwe ni rais pekee aliyejenga madarasa mengi kwa muda mfupi tangu tupate Uhuru.
Bashiru Ally ndiyo umekuja kivingine hivi?
 
Back
Top Bottom