ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Akili yangu ndio hii naitumia.Lisu anahubiri chuki Kwa maslahi ya nani? Mgawanyiko Ili nani afaidike? Matusi ilomkitikee nini?Achana na mambo ya kijinga ya kumtukuza mtu tumia akili yako, ulienda shule kufanya nini kama unaishi kwa kutegemea mawazo ya mtu? nipe faida 5 za huu muuungano fake kwa watu wa bara
Acha ujinga taja faida 5 tu za muungano kwa mtanganyika? mbona una kwepa swali?Akili yangu ndio hii naitumia.Lisu anahubiri chuki Kwa maslahi ya nani? Mgawanyiko Ili nani afaidike? Matusi ilomkitikee nini?
Najua Kuna Tanznaia hiyo Tanganyika unaijua wewe na wapumbavu wenzakoAcha ujinga taja faida 5 tu za muungano kwa mtanganyika? mbona una kwepa swali?
Lakini si ni Samia huyu huyu kwenye kampeni alisema kuna mtu anajitembeza anasema kapigwa risasi! akaongeza kua askari wetu hawewezi kukosea na kama akipiga risasi tatu aspoua atawajibishwa. Umesahau mkuu?! CCM WANA UNAFIKI MWINGI SANA, USIPOKUA MAKINI UNAWEZA UKAWAAMINI.Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.
Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.
Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.
Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.
Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.
Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?
Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.
View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19
My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.
Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.
Pole sana Samia,pole sana Tanzania.
Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
Sasa si utaje hizo faida dada angu? mjinga wewe unajificha ficha, hujui hata faida 1 ya huu muungano fake zaidi ya kuaminishwa ujinga tupuNajua Kuna Tanznaia hiyo Tanganyika unaijua wewe na wapumbavu wenzako
Ukute una masters ya UDOM ndiyo maana huna akili, faida zipi mtu kutoka bara anapata Zanzibar kama siyo ujinga?Najua Kuna Tanznaia hiyo Tanganyika unaijua wewe na wapumbavu wenzako
Kuitwa mzanzibar ni kosa? hana kitambulisho cha mzanzibar?Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.
Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.
Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Lisu na Freeman Mbowe ni watu wawili tofauti kabisa.Lissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.
Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.
Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Tumekusikia ewe mshauri wa mama a.k.a CHAWA SUGUSamia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu Sasa Shukrani ya bwana Lisu Kwa Samia ni kumtukana,kumsinhizia anauza Mali za Watanganyika na kumfanyia ubaguzi wa kikabila na kimaeneo.
Lisu amejivika kilemba na kuwa champion wa kueneza chuki na ubaguzi Kwa Samia kana kwamba Kuna baya amelifanya.
Ikumbukwe kwamba, Ubinafsishaji wa Bandari sio kuuza na unalenga kudhibiti waliogeuza Bandari ya Dar shamba la bibi.
Ieleweke wazi kwamba Masai hawajafukuzwa Bali wamehamishiwa Kwa staha na fidia kupisha uhifadhi ya Ngorongo ambayo ilishaanza kuharibiwa na Wingi wa watu kinyume na sheria za kuanzishwa kwake.
Ikumbukwe Muungano haukusainiwa na Samia yeye kazi yake ni kuulinda ila Lisu anataka Samia auvunje, haiwezekani.
Ieleweke kwamba Asili za Watu wa Tanzania ni kutoka sehemu tofauti za Dunia ila Lisu anataka Samia ajigeuze abadili historia yake au?
Ieleweke Lisu alikimbia Nchi na Samia huyu huyu anaemtukana ndio amerenesha mazingira sawia ya uhuru wa kujieleza ila Lisu anamtusi.
View: https://twitter.com/PMadeleka/status/1792878597406855471?t=3j4TQ1NiLX56_gebKNSJFg&s=19
My Take
Ni wazi huyu bwana asiye na jema hakupaswa kuhurumiwa,waliojitosa kumsaidia wengine walifutwa kazi na wengine walidharirishwa na kusutwa ila Shukrani yake ni dhihaka.
Bora mfadhili mbuzi utakunywa mchuzi, binadamu hapana.
Pole sana Samia,pole sana Tanzania.
Lisu na chama chake tuwakatae , Mwalimu alionya huu ubaguzi Toka kitambo.
Nyerere hakuwa Mungu.... TafakariUjinga upi? Hujawahi sikia kwamba Zanzibar ni kisiwa kidogo kuliwa na sheria huria za Moja kwa Moja kama mnazotaka zitaua Ile identity yake?
Pili kwani wewe hujui kwamba TRA inakusanya pesa zaidi ya Bilioni 400 kutoka huko Hadi useme wao Wana Haki kuliko Bara?
Kwamba Nyerere alikuwa mjinga sana ila nyie msiojua kitu ndio werevu sio?
Udom sijawahi hata fika Wala sijasomaUkute una masters ya UDOM ndiyo maana huna akili, faida zipi mtu kutoka bara anapata Zanzibar kama siyo ujinga?
Jibu hoja za sms uliyoikotiNyerere hakuwa Mungu.... Tafakari
Ni beyond that, anadhihaki hata pose ya mama Samia kwenye mabango,Kuitwa mzanzibar ni kosa? hana kitambulisho cha mzanzibar?
Faida za nini?Sasa si utaje hizo faida dada angu? mjinga wewe unajificha ficha, hujui hata faida 1 ya huu muungano fake zaidi ya kuaminishwa ujinga tupu
Jibu hojaSahii mkuu maana huna akiliUdom sijawahi hata fika Wala sijasoma
Udom sijawahi hata fika Wala sijasoma
Lisu amenifundisha kitu kwamba majitu ya dizaini yake sio ya kusaidia Kwa loloteLissu inabidi afanye siasa lakini na utu pia auzingatie.
Mama Samia alimuonyesha upendo mkubwa sana wakati wa dhiki yake. Inabidi ampige spana za kisiasa lakini utu wake aulinde kwa unyenyekevu mkubwa!.
Nampenda Lissu mwenye hoja, Simpendi Lissu arrogant!
Hoja ipi?Jibu hoja
Faida za muungano acha kujitoa ufahamuFaida za nini?
Moja na LA msingi ni kuzaliwa Taifa la Tanzania.Faida za muungano acha kujitoa ufahamu