Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leta safu ya baraza la mapinduzi mjinga wewe tuone kama kuna mwakilishi mkiristo
Zanzibar 99% ni Waislamu ,hao Wakristo ni WA kumulika na tochi.

Na nyie ni chama Cha Wakristo ndio maana Uongozi ni Wakristo pekee? πŸ˜†πŸ˜†

Kwamba Bara hakuna Waislamu waje Kugombea huko kwenu au? 🀣🀣
 
Mbona hutaji hizo faida wewe mpuuzi unakwepa kwepa tu hapa
Akili huna ,faida mojawapo ni umoja ni Nguvu utengano ni udhaifu au hii sio faida?

Au una faida zako unazotegemea kichwani kwako? 😁😁😁😁

Faida ya pili TRA inakusanya pesa pande zote za Muungano, Zanzibar haikusanyi pesa Mlele
 
Chadema ni absolutely chama Cha kidini Cha Wakristo,angalia hata huko kwenye Uongozi wenu
Cdm vyeo vinapatikana kwa uchaguzi na uwezo wako. Hicho kigezo Cha kidini Kiko kwenye vyama vya kulindana, hivyo balance ya hizi dini za kuletwa na majahazi ni lazima zizingatiwe. Honestly nikisikia mtu anatumia kigezo Cha dini halafu dini ni za watu weupe, huyo namuona ni mpuuzi wa kiwango Cha juu.
 
Lissu hajitambui
 
Zanzibar 99% ni Waislamu ,hao Wakristo ni WA kumulika na tochi.

Na nyie ni chama Cha Wakristo ndio maana Uongozi ni Wakristo pekee? πŸ˜†πŸ˜†

Kwamba Bara hakuna Waislamu waje Kugombea huko kwenu au? 🀣🀣
Kwanini huko Zanzibar kusiwe na balance ya hizo dini Ili iwe ni nchi sahihi? Upuuzi mtupu.
 
Lisu akamatwe kinguvu akapimwe akili.
 
Zanzibar 99% ni Waislamu ,hao Wakristo ni WA kumulika na tochi.

Na nyie ni chama Cha Wakristo ndio maana Uongozi ni Wakristo pekee? πŸ˜†πŸ˜†

Kwamba Bara hakuna Waislamu waje Kugombea huko kwenu au? 🀣🀣
Hao 1% kwanini wasiwepo?
 
sawa..
 
Hii ni misemo ya wazembe, mbona hapo Middle East Israel imejitenga na waarabu lakini ina nguvu na maendeleo makubwa tu? Nitajie udhaifu wake Ili kubeba hii misemo ya wazembe.
 
Umoja ni Nguvu,utengano ni udhaifu.Au Ukawa mliunda wa nini? 🀣🀣
Umoja na watu dhaifu ni upuuzi!! Lini nchi tajiri (Tanganyika) na nchi fukara (Zanzibar) zikaungana kwa haki? Lazima nchi tajiri itsnyonywa tu tena chini ya utetezi kutoka nchi masikini
 
Umoja na watu dhaifu ni upuuzi!! Lini nchi tajiri (Tanganyika) na nchi fukara (Zanzibar) zikaungana kwa haki? Lazima nchi tajiri itsnyonywa tu tena chini ya utetezi kutoka nchi masikini
Upuuzi as per chadomo sio wengine
 
Hii ni misemo ya wazembe, mbona hapo Middle East Israel imejitenga na waarabu lakini ina nguvu na maendeleo makubwa tu? Nitajie udhaifu wake Ili kubeba hii misemo ya wazembe.
Wewe ni nyumbu huwezi elewa kitu.Isrsel Iko mikono salama ya USA Beberu wa Dunia.
 
Hao 1% kwanini wasiwepo?
Wapo na inategemea kama wamegombea.By the way Zanzibar na Bara chama ni CCM.

Bara Waislamu vs Wakristo ni nusu Kwa nusu.

Uongozi Chadema 99.9% Wakristo 🀣🀣🀣🀣 chama Cha kidini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…