Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamependeza sana hao wajeda ingewezekana jioni wahamie kwenye shuka 1
Mama kama wote ,
Kuwa na adabu we CHADEMAWamependeza sana hao wajeda ingewezekana jioni wahamie kwenye shuka 1
Unafahamu maana ya bashasha mjomba?unavaa magwanda af unakua na bashasha, hii imekaaje
Shungi la umri lile sio la dini.kumbe ushungi unavulika eee!!!
taaluma yangu ya tasfiri inaniambia bashasha ni overjoy kwa kiingereza na kwa kiswahili ni furaha iliyipotiliza (kuu)Unafahamu maana ya bashasha mjomba?
Dah nmeliona hilo pia,age imemtupa mkono.kumbe kilomita zimeenda sana na ushungi unafichaga tusivyoona, nyama za shingo hazina bashasha hata kidogo
Cha ajabu ni kipikumbe kilomita zimeenda sana na ushungi unafichaga tusivyoona, nyama za shingo hazina bashasha hata kidogo
HaaNaona Amirat mkuu gwanda limemkubali kushinda hata CDF mwenyewe.
Huyo ni mama yako bro. Respect yourself.kumbe kilomita zimeenda sana na ushungi unafichaga tusivyoona, nyama za shingo hazina bashasha hata kidogo
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Wamependeza sana hao wajeda ingewezekana jioni wahamie kwenye shuka 1