Samia ndiye Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania

BigBro

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
3,585
Reaction score
11,601
FB_IMG_1636977564271.jpg
 
unavaa magwanda af unakua na bashasha, hii imekaaje
 
kumbe kilomita zimeenda sana na ushungi unafichaga tusivyoona, nyama za shingo hazina bashasha hata kidogo
 
Unafahamu maana ya bashasha mjomba?
taaluma yangu ya tasfiri inaniambia bashasha ni overjoy kwa kiingereza na kwa kiswahili ni furaha iliyipotiliza (kuu)


mimi nimezoea kuwaona wakiwa watu serious (wamiliki faafu wa gwanda) ndio maana nimeuliza hii imekaaje?

haya jibu swali langu sasa
 
Back
Top Bottom