Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Samia ni Rais wa wafanyabiashara

Nyie ndiyo Magufuli alikuwa anawaita '"WANYONGE" na mkakubali kuwa Magufuli ni Rais wa wanyonge.

Ni upumnavu kukubali kuitwa MNYONGE. Mungu alituumba binadamu na akatuwezesha kwa kutupatia ubongo. Ukitumia ubongo wako vizuri unaweza ukajinasua kimaisha.

Magufuli alikuwa añatamba kuwa ana uwezo wankumfanya tajiri aishi ka shetani. Kwangu hii haikuwa sawa. Alipaswa aseme ana uwezo wa kumfanya maskini aishi kama tajiri ndiyo ange make sense.

Muacheni Samia atuongezee matajiri na wafanyabiashara wakubwa. Hawa wakiongezeka ndiyo watawaajiri maskini na maskini wanaweza kutoka kimaisha kupitia matajiri. Kamwe umaskini na unyonge siyo kitu cha kujivunia
Matajiri wapi hao wa kuwatoa kimaisha maskini? Hawa wahindi, wachina na warabu?Tajiri anaelipa ujira wa buku 6 kwa masaa 12 ndio atakaemtoa mtu katika umaskini?

You are completely doomed kama unafikiri hao matajiri wa bongo wana msaada na masikini zaidi ya kuwanyonya na kuwa paralyse kiuchumi. Zaidi ya kunyanyasa wabongo impact ya hao matajiri ni ndogo sana kwenye mafanikio ya mtu mweusi.
 
Ukiona Rais wa nchi anatetea wakati wote wafanyabiashara ujue ni mfanyabiashara.

Hivi katika nchi kama Tanzania unahitaji rais mfanyabiashara au mfanyakazi?

Hivi nchi ya uchumi kama wa tanzania unahitaji kuwatetea wafanyabiashara au kuweka sheria kuwadhibiti?

Juzi Rais kasema eti wafanyabiashara wameenda wizara ya afya kutaka kupewa kazi wanazungushwa. Sasa anataka wapewe tu dili hata kama hakuna kazi wanayotaka. Yani raha yake ni private sector wapate tu hela toka serikalini hata kama hakuna thamani yoyote wameipa serikali.

Rais mwenye atitude ya upigaji hela ya umma atatuangamiza. Sekta binafsi ya Tanzania imejaa ubabaishi tele na haina weledi wala uadilifu. Wamejitune kuibia serikali tu. Kwa nini sekta binafsi isikomae kufanya kazi kwenye sekta yenyewe?

Tunajua wenyewe wanajuana na wako makini kupeana kazi. Hawa wezi wanaopitia kwa wanasiasa ndio wanasumbua.

Rais lake kubwa iwe kutetea maslahi ya umma. Wakulima wavuvi wafanyakazi. Hawa ndio wanahitaji usaidizi wa serikali yetu. Sekta binafsi inajua kujilinda na kujitetea.

Pia mipango namna ya wao kutumika kufaidisha uchumi ipo sio rais kila siku kupigia chapuo wababaishaji kama ndio sekta binafsi.
Kwa kuwa wewe ulamba posho kupitia siasa na kupiga Domo tu ndo maana unaona sekta binafsi wababaishaji na hawaitajiki siku ukikosa nafasi kwenye siasa ukiingia kwenye sekta binafsi ndo utapata akili maana saizi umezikalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki dhidi ya wafanyabiashara aliijenga Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa. Ndiyo maana miaka 60 ya uhuru tunazidi kukwama. Nchi ndogo zaidi ya kwetu zinatuzidi kimaendeleo. Kenya ilitupita kimaendeleo zamani sana, na siku za karibuni Rwanda nayo itatuzidi kimaendeleo.
Sera za ujamaa sio mbaya ila application yake iko dated. Ubepari ni mzuri kama utajali misingi ya demokrasia na utu.

Watu wafanye biashara ndio ila mbinu chafu za kugandamizana zisiwepo. Chombo cha kuwajibisha watu kiwe imara na chenye meno bila kujali nani kafanya nini. Hilo tu ndio tunataka.

Style ya JM ilituletea matumaini kwani hata wale waliokuwa untochable walinyooka na tuliheshimiana.
 
Mkuu 'Kishimbe wa Kishimbe', umekosea sana kuniweka katika kundi hilo la waajiriwa serikalini. Ningekuwa na uwezo, hawa ndio watu ningependa wahenye kwelikweli katika kuwatumikia waTanzania kuliko wanavyovuruga hovyo hovyo sasa hivi.

Nawazungumzia waTanzania kwa ujumla wao, ambao wengi wetu tupo huku vijijini na juhudi zetu hazisaidii chochote kutimiza malengo yetu ya kujikwamua kimaisha.

Heri yako wewe utakayekwenda kushirikiana na hao wafanya kazi serikalini ili mzidi kutunyonga sisi zaidi.
Acha uongo mkuu?
Wewe, na hayati Jiwe, ni wafuasi wa siasa za za POL POT! 😅
NB: Pol Pot alijaribu kubase uchumi wote wa Kambodia vijijini kwenye eneo dogo sana la 'peasant agriculture'! ... he killed millions but still failed miserably!
 
Kwa kuwa wewe ulamba posho kupitia siasa na kupiga Domo tu ndo maana unaona sekta binafsi wababaishaji na hawaitajiki siku ukikosa nafasi kwenye siasa ukiingia kwenye sekta binafsi ndo utapata akili maana saizi umezikalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujui dynamics za uchumi. Ubabaishaji na kuiba hela ya kodi inadumaza maendeleo. Mimi sina shida na sekta binafsi yenye kuongeza thamani kwenye uchumi na sio kutransfer hela ya umma kwao kwa dili sisizokuza uchumi. Kwenye nchi nyingi za kiafrika kuna tabaka la wezi na wanyonyaji badala ya sekta binafsi yenye kukuza uchumi wa nchi. Matokeo yake wananchi wanazidi kua fukara huku wachache wananeemeka.
 
Matajiri wapi hao wa kuwatoa kimaisha maskini? Hawa wahindi, wachina na warabu?Tajiri anaelipa ujira wa buku 6 kwa masaa 12 ndio atakaemtoa mtu katika umaskini?

You are completely doomed kama unafikiri hao matajiri wa bongo wana msaada na masikini zaidi ya kuwanyonya na kuwa paralyse kiuchumi. Zaidi ya kunyanyasa wabongo impact ya hao matajiri ni ndogo sana kwenye mafanikio ya mtu mweusi.
Itategemea skills zako unazopeleka kwa Mhindi na negotiation capabilities zako. Kama wewe porter wa Mhindi unatarajia ulilipwe Tsh 100,000 kwa siku?

Secondly unaweza ukawa professional unalipwa hata Tsh 300,000 kutwa lakini kama inakwenda kulewea na kuhonga utapotea tu na huwezi kutoka. Wahindi wanafanikiwa kwa sababu za skills zao, uaminifu na discipline ya kuiweka akiba
 
Itategemea skills zako unazopeleka kwa Mhindi na negotiation capabilities zako. Kama wewe porter wa Mhindi unatarajia ulilipwe Tsh 100,000 kwa siku?

Secondly unaweza ukawa professional unalipwa hata Tsh 300,000 kutwa lakini kama inakwenda kulewea na kuhonga utapotea tu na huwezi kutoka. Wahindi wanafanikiwa kwa sababu za skills zao, uaminifu na discipline ya kuiweka akiba
We unaona ni sahihi kwa muhindi kukulipa 3OO,OOO ikiwa kwa quater tu unamfungia hesabu za 4OOM-1B in profits? Hawa wanyonyaji wafurushwe tu hawana mchango wowote wa maana zaidi ya kufaidisha mafisadi serikalini.
 
Chuki dhidi ya wafanyabiashara aliijenga Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa. Ndiyo maana miaka 60 ya uhuru tunazidi kukwama. Nchi ndogo zaidi ya kwetu zinatuzidi kimaendeleo. Kenya ilitupita kimaendeleo zamani sana, na siku za karibuni Rwanda nayo itatuzidi kimaendeleo.
Rwanda na Kenya unazitolea mfano kuwa nchi zilizoendelea?
Kama siyo kuwa na tope kichwani, huko ndani ya fuvu kuna nini?

"Chuki dhidi ya wafanya biashara aliijenga Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa..." Hao Rwanda unaowasifu kuendelea hujui historia yao katika maendeleo yao hayo unayoyaona wewe?
 
Acha uongo mkuu?
Wewe, na hayati Jiwe, ni wafuasi wa siasa za za POL POT! 😅
NB: Pol Pot alijaribu kubase uchumi wote wa Kambodia vijijini kwenye eneo dogo sana la 'peasant agriculture'! ... he killed millions but still failed miserably!
Sasa hata heshima ndogo niliyokuwekea naona unaiondoa mwenyewe.
Unadhani ukiweka "Pol Pot" hapo utaonekana mtu mjuaji wa mambo?

Onyeshha "uongo" niliouweka hapo ni upi.
Hovyo kabisa watu wengine.
 
Sasa hata heshima ndogo niliyokuwekea naona unaiondoa mwenyewe.
Unadhani ukiweka "Pol Pot" hapo utaonekana mtu mjuaji wa mambo?

Onyeshha "uongo" niliouweka hapo ni upi.
Hovyo kabisa watu wengine.
Wewe ni muongo! ... mtu uko town, halafu sio mnyonge ila mjanjamjanja unayejificha nyuma ya wanyonge na kuwatumia kisiasa vilivyo! 😅
 
Rwanda na Kenya unazitolea mfano kuwa nchi zilizoendelea?
Kama siyo kuwa na tope kichwani, huko ndani ya fuvu kuna nini?

"Chuki dhidi ya wafanya biashara aliijenga Nyerere na sera zake mbovu za Ujamaa..." Hao Rwanda unaowasifu kuendelea hujui historia yao katika maendeleo yao hayo unayoyaona wewe?

Kama unaziona Kenya na Rwanda hazijaendelea basi sisi tutakuwa tumerudi nyuma kabisa maana Kenya imetupita kiuchumi na Rwanda inakuja kutupita. Tumekwamishwa na sera mbovu za Ujamaa.
 
We unaona ni sahihi kwa muhindi kukulipa 3OO,OOO ikiwa kwa quater tu unamfungia hesabu za 4OOM-1B in profits? Hawa wanyonyaji wafurushwe tu hawana mchango wowote wa maana zaidi ya kufaidisha mafisadi serikalini.

Sasa basi na wewe kaanzishe biashara halafu uwalipe wafanyakazi wako hela unazoona ni sahihi. Maana unaposema wahindi wafurushwe basi hata hiyo 300,000 hao wafanyakazi wataikosa. Na wahindi wakifukuzwa hao mafisadi watawageukia Wachina au Waturuki au wengine wanaokuja kuwekeza. Ufisadi umeletwa na urasimu uliojengwa na mfumo mbovu wa Ujamaa.
 
Sasa basi na wewe kaanzishe biashara halafu uwalipe wafanyakazi wako hela unazoona ni sahihi. Maana unaposema wahindi wafurushwe basi hata hiyo 300,000 hao wafanyakazi wataikosa. Na wahindi wakifukuzwa hao mafisadi watawageukia Wachina au Waturuki au wengine wanaokuja kuwekeza. Ufisadi umeletwa na urasimu uliojengwa na mfumo mbovu wa Ujamaa.
Mimi sina mtaji ila siwezi ingiza faida ya million 4OO halafu nikalipa watu 3OOk wakati najaua haitoshi kwa lolote.
 
Mimi sina mtaji ila siwezi ingiza faida ya million 4OO halafu nikalipa watu 3OOk wakati najaua haitoshi kwa lolote.

Hata hao wahindi hawakuanza na biashara kubwa ya milioni 400. Walikuja maskini wakajenga taratibu mpaka wamefika hapo walipo. Tena walipata dhoruba nyingi tuu kwenye safari zao maana wa Zanzibar waliporwa mali zao baada ya mapinduzi, wa bara waliporwa mali zao baada ya Azimio la Arusha. Leo wengi wamezirudisha na wameziongeza na waporaji akina Nyerere na Karume walikufa maskini.
 
Kama unaziona Kenya na Rwanda hazijaendelea basi sisi tutakuwa tumerudi nyuma kabisa maana Kenya imetupita kiuchumi na Rwanda inakuja kutupita. Tumekwamishwa na sera mbovu za Ujamaa.
Naona ulichobaki naloo ni hilo la wimbo wa "ujamaa"; unalolirudiarudia kama santuri mbovu!

Sina muda na takataka hizi.
 
Naona ulichobaki naloo ni hilo la wimbo wa "ujamaa"; unalolirudiarudia kama santuri mbovu!

Sina muda na takataka hizi.

Takataka ni huo Ujamaa uliotukwamisha. Nchi ina ardhi kubwa, ina rasilimali kibao, watu tele lakini tumekwama baada ya miaka 60 ya uhuru.
 
Takataka ni huo Ujamaa uliotukwamisha. Nchi ina ardhi kubwa, ina rasilimali kibao, watu tele lakini tumekwama baada ya miaka 60 ya uhuru.
Enough of this nonsense.

Huna cha maana unachoongeza katika michango yako.
 
Back
Top Bottom