Samia Suluhu Hassan ni Rais halali kabisa wa Tanzania, tusimdharau ila tumuombee afya, amani na azidishiwe hekima ya kutuongoza watanzania

Samia Suluhu Hassan ni Rais halali kabisa wa Tanzania, tusimdharau ila tumuombee afya, amani na azidishiwe hekima ya kutuongoza watanzania

Za jumapili mama d
Wenye akili wanalalamikia mifumo nasio rais wako
 
Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kuruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa Nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba Rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa Hayati Magufuli na sasa wanalalamika bado kwa Rais Samia na watalalamika tu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Mpango wa Mungu au mpango wa shetwani? Kwani aliyemuambia aidharau covid 19 ni nani?
 
Mpango wa Mungu au mpango wa shetwani? Kwani aliyemuambia aidharau covid 19 ni nani?

Maskini weeee. Nimekuhurumia sana kwa hii comment yako

Polee
 
Watanzania hakuna utawala unaoweza kuinuka kwenye taifa kwa bahati mbaya. Mungu ana uwezo wa kuruhusu au kuzuia jambo lolote kwa sifa na utukufu wa jina lake.

Kuna watu walilalamika tangu kwa Nyerere hadi sasa wanalalamika kwamba Rais hafai. Walilalamika na kushukururu kuondoka kwa Hayati Magufuli na sasa wanalalamika bado kwa Rais Samia na watalalamika tu hata ashushwe malaika toka mbinguni

Ila kabla ya kujibebesha laana kwa kumtukana, kumkejeli, kumdharau na kumkosoa kwa lugha za kuudhi rais wako ni bora umpe ushauri kwa busara na umuombee sana kwani yeye anachokiona kama kiongozi wa nchi inawezekana wewe ukawa unaona tofauti kabisa





Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote

Binafsi Niko na mama hata leo uniambie huko ccm nani anafaa zaidi yake sijamuona hadi mda huu.
 
Nipo na mama la mama, iwe jua ama mvua, kivulini ama juani. Mh. Mama Samia apewe muda mambo yatakuwa mazuri tu, sababu ameonyesha Nia na njia. Kwa kipindi hiki kifupi amefanya Mengi makubwa tu, sema hapendi masifasifa, sio mtu wa makelele Mengi. Wananchi wenzangu haiwezekani kila kitu kiwe sawa kwa wakati mmoja, tumpe muda Raisi wetu, for sure Tanzania inaenda kuwa ya Neema. Tumwombe Raisi wetu. Sisi wanaume waTanzania, tumuombee mama, tumuunge mkono, na sie wanaume tuache kabisa mfumo dume.
 
Back
Top Bottom