Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

After the election is over, you 'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much. .....
 
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.


Kwahiyo hapa anaongea kinyume na Boss wake pale alipowaambia watu kuwa watajuta kama wasipomchagua mbunge wa CCM (Silinde).

Haya ndiyo maajabu ya CCM!!, hawa kweli tuwakabidhi nchi tena kwa miaka mingine mitano ???!!πŸ™‰πŸ™‰πŸ™‰
 
Huu ni ukweli hata wewe ndani ya nafsi yako unaujua

Hata Lissu Mwenyewe anajua JPM ndio Mshindi kinavchosubiriwa ni kiwango tu cha ushindi kama ataweza vunja record ya Jakaya ya ASILIMIA 82 MWAKA 2005
Kapigiwa kura na Nani,ilhali siku ya hukumu yake,itakayo mpumzisha ni Oct 28
 
Kwahiyo hapa anaongea kinyume na Boss wake pale alipowaambia watu kuwa watajuta kama wasipomchagua mbunge wa CCM (Silinde).

Haya ndiyo maajabu ya CCM!!, hawa kweli tuwakabidhi nchi tena kwa miaka mingine mitano ???!!πŸ™‰πŸ™‰πŸ™‰
Nafananisha na ile maendeleo hayana Yana chama.
 
Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
Yamewafika Hapa!!! Ccm Mnapokwenda Kwa Waajiri Ambao Ni Wananchi Toeni Maneno Matamutamu
Yanayoonyesha Unyenyekevu, Acheni Kuwatisha Wananchi




Vyama Vingi Vilivyoanzishwa Kwa Mujibu Wa Sheria 1992
Ikiwa Hamvitaki Nendeni Bungeni Mkabadili Sheria Ibaki Ccm Tu
 

Tuukatae wizi huu wa uchaguzi. Yawezekana tunabakiwa na muda mfupi wa kuishi.

But a short time to live.

Yote kheri!
 
Makamu wa Rais huna cha kupoteza, utalipwa mshahara 80% mpaka unakufa. Lakini ujue watanzania hawatawarudisha na mwenzio. Ulikuwa mama wa kupigiwa mfano, umekaa karibu na jiwe umekuwa mgumu!
Keshapoteza sifa huyo.
 
Hana uwezo huo na wala hatakuja kuwa nao , ni vema mama akajiheshimu ili tusije kufunguka mazito akajificha milele kwa aibu
🀣🀣🀣 Kuna watu huwa mnajifanya kuwajua sana watu zaidi ya wanavyojifahamu wao wenyewe.Kwahiyo wewe nae ni wakutoa vitisho kama hivyo?

Sidhani kama unayo hiyo nguvu ya kufanya hivyo, na kama unayo hauna haja ya kusemea huku kwenye fake ID's na penye watu wachache.Nenda kayaseme hayo unayotaka kuyasema kwenye mitandao mikubwa. Amini kwamba wewe ni mtu ambae uko uchi Sana mbele ya serikali.

NB:Ngoja nikucheke kidogo 🀣🀣🀣🀣🀣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…