Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Hilo halipo mwaka huu, wizi wowote utakabiliwa kwa nguvu nyingi sana. Huyo Magu ana roho mbaya mno sio mtu wa kubadilika, kwa hiyo ni lazima astaafishwe mwezi huu atake asitake.
Nimeipenda hii, kama tukijitambua tunaweza kujiletea maendeleo. Ni aibu sana kumchagua mtu kwa kura alafu anakuja kukufanya wewe uliyemchagua ni mjinga. Kukataa kuonekana sisi ni wajinga ni kuwakataa na kulida kura zetu kwa nguvu zote. Hii ndiyo changamoto tuliyonayo, kufanya kazi ya ziada kupiga kura za ushindi na kuzilinda kwa faida yetu na ya kizazi kijacho. Tusidanganyike, ccm ni ileile, hawana jipya na walishakata pumzi,
 
Kasema kweli, huku JF tunajidanganya, tunaji aminisha na tunajitahidi kuwaaminisha wengine kitu tunachojua sio kweli.
Upinzani bado sana, ni vifaranga kwa CCM.

Ndio maana baada ya uchaguzi lazima itengenezwe longo longo TUMEIBIWA, UTAIBIWA HUNA CHA KUIBIWA.

Gerald ww unaishi ili ule na sio zaidi ya hapo. Hivi huo wizi unadhani ni kitu kinachohitaji elimu kubwa kuuona?
 
'… Kwa upande wetu uchaguzi unaanzia wakati wa kuhesabu kura na unamalizikia wakati wa kutangaza matokeo…' Kinana kwny Mkutano Mkuu wa kumpitisha JPM
Duuh! Kauli hatarishi hii
 
View attachment 1601260

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa VIktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Kauli za kukata tamaa na kujipa moyo papo hapo.
 
Pumzikeni msifanye kampeni mmeshashida.pua ondoeni na mabango ya kampeni kila kona kupunguza gharama
 
Huyu mama mpole nae anakuwa na kauli za kijinga kijinga hv ,kwel maccm yameshajiamin mno na yanamadharau
 
Back
Top Bottom