Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Hawawezi mkuu!

Toka 2015 tuliwambia wapiganie tume huru wao wakaishia kujadili kingereza cha Magu

Tume huru imeanza kupiganiwa toka mfumo wa vyama vingi urejee hapa nchini. Ila uzoefu unaonyesha ni ngumu tume huru kupatakina kwenye nchi za kiafrika kwa njia za amani.
 
Mwanasiasa makini anaomba kura ya kila mtu.

Hata kama ananuwezo wa kuiba kura.

Mwanasiasa mpumbavu anasema hata asipopata kura yako haihitaji.

Makamu wa Rais, katika hili, amekuwa na kiburi cha kipumbavu.

Halafu watu hawahawa watasemq hii ninserikali ya wanyonge? Wakati inawazodoa kwa kuwaambia haihitaji hata kura zao?
 
Makamu wa Rais huna cha kupoteza, utalipwa mshahara 80% mpaka unakufa. Lakini ujue watanzania hawatawarudisha na mwenzio. Ulikuwa mama wa kupigiwa mfano, umekaa karibu na jiwe umekuwa mgumu!
Akijihusisha na upuuzi wa kuiba kura cha kupoteza anacho bwana! Hiyo 80% ataisikia kwenye makaratasi na kama anadhani wanawake hawafungwi ajihusishe tuu.

CCM itashinda kweli kwa kura nyingi za kuitosha kuwa chama kikuu cha upinzani. Hiyo sio juhudi haba
 
Nothing, just we are in the campaign trail. Everyone has to fight for their side, and when they speak, the other side will always find offended. But in the end, its politics. After the election is over, you'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much.
Usijifanye kujua kiingereza wakati hujui hata mtoto wa kindergarten anakushinda.
 
Ebu acha vitisho wewe, usiguswe we nani ?; labda kama umezaliwa na kukulia au kuishi kwa mda mrefu kati ya Wingereza, Marekani, Canada au Australia, kinyume na hapo usijitape hapa kwasababu nina uhakika kingereza chako ni cha kawaida kama hujazaliwa na kukulia kwenye hizo nchi au kuishi kwa kipindi kirefu. Kwahio tulia kama unanyolewa vile.

Bahati yako mimi sio mjaluo, ulichoandika hapo kunifanya nijieleze sana, angalia michango yangu unaweza kupata picha . Asante tuzungumzie siasa na maoni kwa ujumla kwa kuwa ndio kilichotufanya tuwe hapa.
 
Nini mantiki ya yeye kuzurura mikoani ili kupiga kampeni kama anajua mshindi atapatikana bila kupigiwa kura?
Kwanini asitulie tu nyumbani kwake ili muwewe ampe haki yake ya unyumba?

Halafu utashangaa kuna wanaCCM watajitokeza kwenda kupiga kura.
Tunamuangalia tu mkuu , tukifunguka asije akamlilia mtu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
View attachment 1601260

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Huyu mama sijui...ngoja ninyamaze
 
View attachment 1601260

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
CCM ikitaka kuwa imara tusiogope kupoteza uchaguzi huu kwani hata mbegu huzaa sana baada ya kuwekwa aridhini ambako itachipuka na kuota tena na hatimae kuzaa zaidi.Kamanyola zilizojitokeza miaka miwili iliyopita, Chama kimepoteza confidence kutoka kwa wananchi na kupoteza matumaini.Tunahitaji kujijenga upya baada ya kushindwa katika uchaguzi huu.Chama kwa sasa kinajifanya kuwa hakijagawanyika,lakini ukweli uko dhahiri
 
Haya maCCM hovyo sana. Mwingine juzi kasema Mungu apende, Mungu asipende, ushindi kwa CCM ni lazima! Yana laana haya maCCM.
 
View attachment 1601260

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
This is very serious. She implies that there is no need for elections. It is CCM ever.
 
Back
Top Bottom