Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
Kwanini usiandike Kiswahili tuShe has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini usiandike Kiswahili tuShe has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Mkuu yani kabisa tume huru mlitaka ije mezani kama ugali?
Walichofanikiwa mashabiki wa chadema kupigania kwa nguvu zote kwa miaka 5 hii nibkujadili kingereza cha Magu tu. Hakuna mengine.
Hiyo nguvu utaiona soon..Mkuu yani kabisa tume huru mlitaka ije mezani kama ugali?
Walichofanikiwa mashabiki wa chadema kupigania kwa nguvu zote kwa miaka 5 hii nibkujadili kingereza cha Magu tu. Hakuna mengine.
Ahahahhaha ameandika upepoDuuuh...aisee nakusifu kwa kujitahidi kuandika kingredha bila kuona aibu
Ubaya wa kidhungu huwezi kukitumia kufanyia umbea, udaku au vijembe! Rudi kwenye lugha yako ya mipasho, Kizaramo!She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
View attachment 1601260
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Kama hujui kingereza andika kiswahili. Unatia aibu kama m/kiti wako.
Pia kiswahili hawakielewi.Kwanini usiandike Kiswahili tu
She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Ninaukubali na natambua mchango wake katika swala zima la kupashana habari na kwamba ni mtandao unaowapa nafasi watumiaji wake kujadili mambo yao bila wasiwasi, sema kunu jamaa hapo juu alitaka kujifanya mbabe, kwamba anaweza kufichua mambo mazito ya Dada samia, ndo nakwambia aende kwenye mitandao mikubwa Kama ana nguvu sio huku anakolindwa.Upe mtando huu heshima take tafadhali ,sema mtandao pendwa zaidi ,Tanzania,Africa. Na karibia na duniani.
Asituvunje moyo sisi tupige kura wanatapatapa kwamaana nimemshangaa igp nayeye anazungumza kwanadharia kunataarifa hii hizotaarifa jamani nisiri yapolice kama umezipata kazi yakokamata hiyo nidalili kunawatu watabambikwa kesi hapa iliwaseme tulisema mm najuwa ulipewa cheo narais niwtz tumekupa asingekuwa rais bila sisi wananchi kumpa tunakuomba usimuonee mtuSasa kama kura zikiwa nyingi kwa chama kingine wao watashinda vipi?
Hii ndo ishara ya kwamba Uchaguzi wetu hauamuliwagi kwa wingi wa kura za halali za kwenye maboksi
Hahahaha!! Eti yohana wa chato..Tulia dogo, kwenye ung'eng'e bado hujaiva vizuri. Jitahidi kuongea kiswahili kama Yohana wa chato. Siku ukiiva utaona wapi umekosea kwenye sarufi ya kingereza chako hapo juu.
Haahaa aibu...kama jpm tuAndika kiswahili tu binti, hii lugha ya wenyewe huiwezi na unatumia aibu kama Rais wako Magufuli
English yenyewe grammar Ni UTOPOLO mtupu.She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Hatari naona leo uko lindo una tema yai.She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what