Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Bwahaa bwaaahaa nimecheka mpaka jamaa waliokaa meza ya pembeni yangu wameniangalia. Hiki ni kiingereza au furushi la maneno ya kiingereza?
Swadaktaaaa!!!Tafsiri, hata tusipopata kura zenu tutaiba tu kura na kuunda serikali kwa hila.
Nimeipenda hii, kama tukijitambua tunaweza kujiletea maendeleo. Ni aibu sana kumchagua mtu kwa kura alafu anakuja kukufanya wewe uliyemchagua ni mjinga. Kukataa kuonekana sisi ni wajinga ni kuwakataa na kulida kura zetu kwa nguvu zote. Hii ndiyo changamoto tuliyonayo, kufanya kazi ya ziada kupiga kura za ushindi na kuzilinda kwa faida yetu na ya kizazi kijacho. Tusidanganyike, ccm ni ileile, hawana jipya na walishakata pumzi,Hilo halipo mwaka huu, wizi wowote utakabiliwa kwa nguvu nyingi sana. Huyo Magu ana roho mbaya mno sio mtu wa kubadilika, kwa hiyo ni lazima astaafishwe mwezi huu atake asitake.
Na nidicho wanachokitegemea pekeeTafsiri, hata tusipopata kura zenu tutaiba tu kura na kuunda serikali kwa hila.
Kasema kweli, huku JF tunajidanganya, tunaji aminisha na tunajitahidi kuwaaminisha wengine kitu tunachojua sio kweli.
Upinzani bado sana, ni vifaranga kwa CCM.
Ndio maana baada ya uchaguzi lazima itengenezwe longo longo TUMEIBIWA, UTAIBIWA HUNA CHA KUIBIWA.
Duuh! Kauli hatarishi hii'… Kwa upande wetu uchaguzi unaanzia wakati wa kuhesabu kura na unamalizikia wakati wa kutangaza matokeo…' Kinana kwny Mkutano Mkuu wa kumpitisha JPM
Lugha imekuja na meli kwetu, lakini wewe una uwezo wa kuandika kama yeye?
Kauli za kukata tamaa na kujipa moyo papo hapo.View attachment 1601260
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa VIktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Kiingereza hakikupendi acha kujipendekeza kwachoShe has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Ameshakata tamaa. Njia peke iliyobaki ni wizi wa Kura.Awe muwazi tu kuwa tunapanga kuiba kura
"Wanaopenda ccm ni mbumbumbu"....Twaweza.kiingeleza cha wapi hiki
Mama Hata kwa Ras Simba kweli wewe ulipita.She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what
Kuliko niandike kama yeye acha nisiweze.
Sasa unamtetea nin, kama hamuifahamu viziri Lugha ya malkia zungumzeni ya kwenu ebo!!!Wewe bint endelea kutoa maoni yako, hata kama ulizaliwa Ulaya bado watakwambia umekosea.
hahaha hata mm nmeshangaa San ila nikasem huenda ni cha mbele zaidikiingeleza cha wapi hiki
Haya mkuu, lakini kipigo kipo pale pale mpaka tunyooke, tutajua siku nyingine jinsi ya kwenda vitani.
Sasa unamtetea nin, kama hamuifahamu viziri Lugha ya malkia zungumzeni ya kwenu ebo!!!