Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania


Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
safari hii ICC mmeitafuta wenyeeewe kwa lazima haijalishi ni umeolewa unampikia vizuri ICC inakuhusu tu.
mwenzenu analia kuibiwa na dola yote ipo mikononi mwake. na nyie iandaeni
 
safari hii ICC mmeitafuta wenyeeewe kwa lazima haijalishi ni umeolewa unampikia vizuri ICC inakuhusu tu.
mwenzenu analia kuibiwa na dola yote ipo mikononi mwake. na nyie iandaeni

Hata 2015 kuna watu walienda ICC, ila hakuna hata picha walizopost kwenye mtandao wakifungua kesi. Maamdamano yenyewe yamefeli. Ukweli ni kama alivyosema Mheshimiwa Samia, CCM ndio inakwenda kuunda serikali.
 
Hata 2015 kuna watu walienda ICC, ila hakuna hata picha walizopost kwenye mtandao wakifungua kesi. Maamdamano yenyewe yamefeli. Ukweli ni kama alivyosema Mheshimiwa Samia, CCM ndio inakwenda kuunda serikali.
huu upuuzi wenu ndio utakaowalipa na msilaumu wala msiombe kusamehewa mikisingizia eti mlikuwa hamjui.. shwainnnn
 
huu upuuzi wenu ndio utakaowalipa na msilaumu wala msiombe kusamehewa mikisingizia eti mlikuwa hamjui.. shwainnnn

Hiyo post ina uhusiano gani na uchaguzi mkuu wa Tanzania ?
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Samia Suluhu alisema tusipoteze kura zetu maana hata tukichagua upinzani wao ndiyo wataunda serikali. Daaah wanyonge tuna tabu sana nchi hii....tutakimbilia wapi?
 
Kwa kauli ile, naye huyu Mama nikamwona ni wale wale. Ni wale ambao tunafanana nao kwa mwili lakini ndani yao, shetani ameweka makazi.
 
Kwa kauli ile, naye huyu Mama nikamwona ni wale wale. Ni wale ambao tunafanana nao kwa mwili lakini ndani yao, shetani ameweka makazi.


Sio yeye bali ni ile kauli inayosema; "mtumikie Kafiri upate mradi wako."
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Wanasaccos wa Chadema wameshachanganyikiwa wameshaona ndiyo atawavusha!! Hahahahaha.
 
Bado sio muda sahihi wa kuanza kuwa na matumaini na huyu mama, tujipe muda safari bado ndefu
 
Hapa Kabla hajaitwa MAMA , alikuwa tu Makamu wa Rais ya JMT , Yaani Namba 2 kimadaraka.

Nimeupandisha tu huu uzi tuweke kumbukumbu sawa.
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Dooh!

Kama ukoloni tu..

Kura za wananchi hata ziwe nyingi hazina uwezo wa kuwafurusha hawa ccm🙄
 
Back
Top Bottom