Unachekesha!! Huwezi fananisha design ya S6 edge na S10+
3 alafu nasikia kuna 4Wewe unatumia Spark ipi?
Kwa hiyo S10 haina edge!!Huenda hata iyo S10 unaiona Youtube tu mkuu hujawai igusa. Hapa ni mapenzi binafsi. Mimi edge za S6 series zinanivutia zaidi ukiongeza na edge functionality zake. S8 edge ilipunguzwa alichofanya ni kuongeza tu screen to body ratio. All in all mimi ni mpenzi wa edge kuliko hii mi notch
Zipo protector nzuri za kutumia UV light. Sio za kubandika hizi zikishika zimeshika hutokaa ujutie kama upo interested njoo PMBinafsi natumia S8+ naikubali sana S series. Changamoto iliyonikumba katika simu hii ni protector tu kila nikiweka inabanduka nimeamua kutumia bila protector. S series zimekamilika kila kona wala sijafikiria kuhama huku
Me nilikuwa S series, nimekuja Note nimegundua nilikuwa nakosa ladha flani,
Kwa sasa mimi ni Note series, Note 9. Inshallah January Note 10+
Nikupe hela hiyo simuNilikuwa na kiherehere cha kununua A30 zilivyo toka tu hela ndefu. Ila laiti ningejua zingekuja kutoka nyingi hivi na kwa bei rahisi mara 10 ningenunua Tecno nitulie tu. Kiufupi inapo elekea kwa style hii Samsung wataipoteza brand yao kizembe
Semeni yote ila mimi natafuta Samsung A series kuanzia A10 mpaka A30 mwenye nayo anicheki pm.
Zipo protector nzuri za kutumia UV light. Sio za kubandika hizi zikishika zimeshika hutokaa ujutie kama upo interested njoo PM
Ndio maana nasema mwenye nayo tuchekiane PM au wewe unayo mzee mwenzangu?Chukua A30s hutojuta.
Hizi ndio zinakuwaje? Nifafanulie kidogoZipo protector nzuri za kutumia UV light. Sio za kubandika hizi zikishika zimeshika hutokaa ujutie kama upo interested njoo PM