Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Selfie kameara inabidi iwe under display isionekane au warudishe ile ya ku pop up, ni raha sana kufaidi kioo chote bila kubana nafasi ya selfie camera
Hii ni Xiaomi Mi Mix 4
Inatumia under display selfie camera. Ndio unataka simu iwe hivi?
09_10_29_xiaomi-mi-mix-4-frandroid-2021.jpg
 
Selfie kameara inabidi iwe under display isionekane au warudishe ile ya ku pop up, ni raha sana kufaidi kioo chote bila kubana nafasi ya selfie camera

Hiyo mechanics ya kutoa na kuingiza camera kwenye simu ya $$$ 1200 inawezapelekea simu iuzwe $ 1700
Wakati huo ikisababisha simu kuwa nene zaidi wakati sio trend,lakini pia kubana nafasi zaidi ya battery.
 
We jamaa unachekesha Sana
iPhone 14 Pro Max ni mavi tu mbele ya S23 Ultra

*S23 Ultra ina 10× optical zoom wakati 14 Pro Max inaishia 3× optical zoom. Zooming ya Samsung ni next level huyo iPhone anakalishwa

*Inachekesha sana kuona flagship ya sasa (iPhone 14 Pro Max) inakosa fingerprint scanner. Hiyo Apple Face ID ni overhyped tu na kamwe haiwezi kuwa more secure than fingerprint scanner ya kwenye S23 Ultra

*Inachekesha sana kuona Apple ana-advertise kuwa iPhone 14 Pro Max inafika brightness ya 2000nits wakati S23 Ultra ina 1750 nits tu na bado kwenye real life S23 Ultra ni brighter than iPhone 14 Pro Max

*Inachekesha sana kuona mtu anasema vioo vya iPhone vina resolution kubwa kuliko vya Samsung wakati S23 Ultra ina resolution ya 1440×3088p hiyo iPhone 14 Pro Max ina 1290×2796p.

*Inachekesha sana kuona mtu anasema vioo vya iPhone vinaonesha details vizuri kuliko vya Samsung wakati pixel density ya kioo cha iPhone 14 Pro Max ni 460ppi, huku cha S23 Ultra ni 500ppi

*Inachekesha sana kuona kampuni ya Apple inatumia panel ya IPS LCD kwenye simu ya bei kama iPhone 11, cha ajabu iPhone 13 bado ina 60Hz refresh rate [emoji38][emoji38]

*Inachekesha sana kuona mtu anasema hakuna simu kama iPhone wakati S23 Ultra ina stronger CPU, stronger GPU, faster memory type na high gaming performance kuliko iPhone 14 Pro Max.

*Inachekesha sana kuona base storage ya Samsung Galaxy S23 Ultra ni 256GB, lakini kwa simu expensive kama iPhone 14 Pro Max bado base storage ni 128GB [emoji38][emoji38]

*Inachekesha sana kuona S23 Ultra inakuja na fast 45W wired charger Ila mpinzani wake iPhone 14 Pro Max analeta utani wa slower 27W charger na anaiita Fast charger [emoji38][emoji38]

*Inachekesha sana kuona wireless charging kwenye S23 Ultra ni 15W huku iPhone 14 Pro Max ni utani mwingine wa 7.5W [emoji38][emoji38]

*Inachekesha sana kuona flagship ya sasa inatumia karibia 2hrs ku-charge simu kutoka 0% hadi 100%
Samsung Galaxy S23 Ultra (charging from 0% to 100%)... 59min
iPhone 14 Pro Max (charging from 0% to 100%)... 1hr 52min

*Inachekesha sana kuona Samsung Galaxy S23 Ultra inarekodi 8K videos kwenye kamera ya nyuma ila iPhone 14 Pro Max bado inarekodi maximum video za 4K tu [emoji38][emoji38]

*Kuna comment imenichekesha Sana, eti mtu anasema kwa kuwa Samsung inatumia Android basi ipo Sawa na Tecno.
Samsung Galaxy S23 Ultra ina feature ya Samsung DeX na iPhone haitokuja kuwa na feature nzuri kama hii miaka ya karibuni

Samsung is better than iPhone.
Sio tu ni opinion yangu, bali ndio ukweli pia
Kwenye upande wa zooming Huawei hafai duniani mzeee hao wote ni wachunba kwake.
 
Kwenye upande wa zooming Huawei hafai duniani mzeee hao wote ni wachunba kwake.
Mkuu Mi 11 Ultra inazoom 120x

Leo nimeshika Huawei Magic 4 Pro inazoom 100x

Hapa naona imepitwa kidogo na Xiaomi yangu hivyo najikuta natembea kifua mbele
 
Ni Brand ya Huawei mkuu
Ni kama Realme brand ya Oppo
Na Redmi brand ya Xiaomi

Mimi nafanya software mkuu hizi simu nina ziservice mara kibao
Namaanisha Honor ameshajitenga kutoka kwa Huawei
Sikuhizi Honor inatoa simu kali kuliko Huawei na inasupport Google services. Kuhusu Honor kuwa Huawei ni story Tu kwa sasa

Honor inatumia software ya MagicOS ambayo inafanana na ile EMUI ya Huawei ila kwa sasa Honor inajitegemea
Huawei anaendelea kutengeneza simu zisizo na Google services ila kwa sasa simu zake sio competitive Sana.
 
Namaanisha Honor ameshajitenga kutoka kwa Huawei
Sikuhizi Honor inatoa simu kali kuliko Huawei na inasupport Google services. Kuhusu Honor kuwa Huawei ni story Tu kwa sasa

Honor inatumia software ya MagicOS ambayo inafanana na ile EMUI ya Huawei ila kwa sasa Honor inajitegemea
Huawei anaendelea kutengeneza simu zisizo na Google services ila kwa sasa simu zake sio competitive Sana.
Hapo sahihi mkuu
Nilishawahi kujiuliza kwa nini Honor zinaplaystore wakati Huawei hazina

Nikajua wamefanya hivi kwa ajili Global market, kisha Huawei zibaki China market
 
Itakuwa wateja hawajawa tayari kwa hii tech, ila hiyo itakuwa ndo future trend. Smartphone are getting better everyday

Tatizo la android ni namna ya kulifanya jambo kuwa la maana tu.

Hapa wana kiherehere cha kuondoa hiyo camera lakini hawana matumizi na hilo eneo,bado kulia ni network bar,battery/kushoto muda,atakuja Apple hapo aweke hata tarehe na mwezi sio mpaka ushushe pazia hapo ili lasikae wazi,halafu wake waige tena miaka kadhaa wakati walikuwa wa kwanza kuondoa matakataka hapo,halafu dynamic island ikawa inatokea kwa muda maalum kama ilivyo sasa.
 
Sasa kama iphone anatengenezewa vioo na samsung sasa kwa akili ndogo tu nan hapo ypo juu.

Simu ni zaidi ya kioo, kuna chip ,kuna os na vitu vingine. unaweza tengeneza parts za mtu fulani lakini yeye ana component zingine zinazokuzidi
 
Simu ni zaidi ya kioo, kuna chip ,kuna os na vitu vingine. unaweza tengeneza parts za mtu fulani lakini yeye ana component zingine zinazokuzidi
Sawa lakini kwa case ya Samsung na iPhone Samsung ndio bora zaidi
Mwisho wa siku mtu unaangalia unapenda nini Ila overall bado Samsung ni zaidi ya Apple ukilinganisha devices zao
 
Kuna watu wanunua iPhone sababu ya security,
Sasa sisi wakina kajamba nani kwa security ya nini?
 
Back
Top Bottom