Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Hii mate 40 ndo haikamatiki mkuu?
Inakamatika ila kwa mbinde na ni kwa asilimia 10 pekee, kifupi kinachotukwamisha ni server za Huawei ni high security kuliko zote

Imagine iPhone 13 pro zinatoka kwa server lakini Huawei kuanzia Mate 40 Pro yenye Kirin 9000 imekuwa mazoezi ukiacha hiyo ina mdogo wake ipo P40 Pro hii ina kirin 990 5G tu lakini ukikuta yenye latest Harmony Os ya Huawei hii ni kazi nyingine ngumu kabisa niliyowahi kutana nayo japo ipo supported na Tools zangu lakini mteja angenipa muda wa kutosha nngemalizana nayo

Ukizama kwenye server services unakuta watu wanatoa iCloud, mi account lakini Huawei ID ni kazi nyingine kabisa

ndo maana mpaka sasa ukute server inatoa Mi account (hii ni ya xiaomi) ya china unakuta ni high price

Kifupi mchina kwenye issue ya security yupo vizuri ndo maana mmarekani kazipiga ban Huawei

Tukiachana n Huawei kuna simu Nyingine zinaitwa Meizu huku kuna Flyme account na ynyewe ni habari nyingine

Halafu anatokea mtu anabisha iCloud haitoki wakati hapa Aggrey watu tunamalizana nazo kimya kimya
 
Inakamatika ila kwa mbinde na ni kwa asilimia 10 pekee, kifupi kinachotukwamisha ni server za Huawei ni high security kuliko zote

Imagine iPhone 13 pro zinatoka kwa server lakini Huawei kuanzia Mate 40 Pro yenye Kirin 9000 imekuwa mazoezi ukiacha hiyo ina mdogo wake ipo P40 Pro hii ina kirin 990 5G tu lakini ukikuta yenye latest Harmony Os ya Huawei hii ni kazi nyingine ngumu kabisa niliyowahi kutana nayo japo ipo supported na Tools zangu lakini mteja angenipa muda wa kutosha nngemalizana nayo

Ukizama kwenye server services unakuta watu wanatoa iCloud, mi account lakini Huawei ID ni kazi nyingine kabisa

ndo maana mpaka sasa ukute server inatoa Mi account (hii ni ya xiaomi) ya china unakuta ni high price

Kifupi mchina kwenye issue ya security yupo vizuri ndo maana mmarekani kazipiga ban Huawei

Tukiachana n Huawei kuna simu Nyingine zinaitwa Meizu huku kuna Flyme account na ynyewe ni habari nyingine

Halafu anatokea mtu anabisha iCloud haitoki wakati hapa Aggrey watu tunamalizana nazo kimya kimya
Watu wanakalilishwa mkuu mtu ambae kidogo akisema aingie kwenye upande was simu aweke software zake atasumbua ni ellon musk tu yule watu watasanda.
 
Mimi humu JF nina mwamba wangu mmoja tu ndo anabadilisha hizi IMEI ila ni za Samsung, sijui kama Iphone pia zinabadilishwa IMEI number.
mkuu simu ngumu kubadilisha Imei namba ni Oppo pekee na hii inasababishwa na utaratibu wao flashing tu mpaka wenyewe wakupe access na usajili IMEI namba na PCB namba

hizi nyingine watu wanafanya kama kawaida sema ukikamatwa sasa faini milioni kumi au jela miaka sita kama sikosei au vyote kwa pamoja
 
Mimi humu JF nina mwamba wangu mmoja tu ndo anabadilisha hizi IMEI ila ni za Samsung, sijui kama Iphone pia zinabadilishwa IMEI number.
Na Samsung na wenyewe simu zao latest kubadilisha imei namba ni mazoezi mana ukikuta ina Android 12 mpaka uishusje kurudi 11 ikishindikana kuishusha ndo basi tena
 
mkuu kama unamkumbuka snowden utaelewa ninachotaka kukwambia,yeye anasema kitengo chake walikuwa na uwezo wa kuchukua data za simu ya mtu bila hata kuiwasha,sio iphone wala itel,lakini kwa kazi moja tu,ya matumizi ya kiusalama sio kufungulia wezi waziuze.

nikija katika mtazamo wako,IOS zote zinapigwa kidole,ndio maana haipiti miezi miwili hujapewa security update,unadhani ni kwanini???watu wanaijua IT brother usibishe,shida inakuja simu imeripotiwa server za apple,ikirudi hewani tu kufuri inarudi.kwahiyo kazi sio kutoa lock kazi ni kuificha isionekane,kitu hiki hakipo,ndio maana wanaitoa mtandao ili imei no isijeonekana milele.

unadhani mtu aibiwe leo iphone 12 akaripoti polisi na kesi afungue(kumbuka imei haibadiliki ktk iphone),kisha akutwe nayo mtu mwingine jumapili ijayo,huyo fundi aliyeifungua anajua TCRA wanamdai 15mln na kifungo juu,hakuna fundi atakubali kurisk maisha yake straight kwa ujira wa laki 2.ni sawa na kwenda kuiba bank na panga,utaondoka na hela lakini usile kabisa hiyo hela kwa balaa litakalokukuta.

siku hizi android nazo zimekuwa changamoto kubadiri imei,unawezawekwa imei nyingine baadae ukiupdate mtandao unakwenda na maji.simu inabaki WIFI only.
Mkorinto , vip sumsung hizi toleo za kuanzia 2019, hizi note 10+, s21,s22 n.k vip nazenyewe zinaweza kubadilishwa EMEI number kirahisi??
 
Nina tumia sumsung note 10+ hizi features zipo...ninaweza kuscan bila kutumia app kwa kutumia tu kamera ya kawaida

Lkn pia internet haikatiki kama hio ifoni yako
Note 10 plus ni mashine, watu waliowahi kuitumia ndo watakuelewa unazungumzia nini. Ukiniwekea hapa note 10 plus na iphone yoyote ile, nitaenda kwa samsung note 10 plus.
 
Inakamatika ila kwa mbinde na ni kwa asilimia 10 pekee, kifupi kinachotukwamisha ni server za Huawei ni high security kuliko zote

Imagine iPhone 13 pro zinatoka kwa server lakini Huawei kuanzia Mate 40 Pro yenye Kirin 9000 imekuwa mazoezi ukiacha hiyo ina mdogo wake ipo P40 Pro hii ina kirin 990 5G tu lakini ukikuta yenye latest Harmony Os ya Huawei hii ni kazi nyingine ngumu kabisa niliyowahi kutana nayo japo ipo supported na Tools zangu lakini mteja angenipa muda wa kutosha nngemalizana nayo

Ukizama kwenye server services unakuta watu wanatoa iCloud, mi account lakini Huawei ID ni kazi nyingine kabisa

ndo maana mpaka sasa ukute server inatoa Mi account (hii ni ya xiaomi) ya china unakuta ni high price

Kifupi mchina kwenye issue ya security yupo vizuri ndo maana mmarekani kazipiga ban Huawei

Tukiachana n Huawei kuna simu Nyingine zinaitwa Meizu huku kuna Flyme account na ynyewe ni habari nyingine

Halafu anatokea mtu anabisha iCloud haitoki wakati hapa Aggrey watu tunamalizana nazo kimya kimya
Umetisha mzee
 
vip sumsung hizi toleo za kuanzia 2019, hizi note 10+, s21,s22 n.k vip nazenyewe zinaweza kubadilishwa EMEI number kirahisi??
Kwa maelezo yao hawa jamaa itakuwa wanaweza kuzibadili.
 
vip sumsung hizi toleo za kuanzia 2019, hizi note 10+, s21,s22 n.k vip nazenyewe zinaweza kubadilishwa EMEI number kirahisi??
Ni ngumu sio rahisi maana nyingi ni Qualicomm
Qualicomm ni chache sana unaweza kubadili na kupatch cert ila nyingi ni lazima uwe na certificate
Zinazobadilishika kirahisi ni Exynos na zenyewe ziwe chini ya Android 12 na binary pia iwe supported tools husika

Hatujui baadae kama zitakuwa supported
 
Kwa maelezo yao hawa jamaa itakuwa wanaweza kuzibadili.
Zinabadilishika ila sio kirahisi rahisi ni kazi kweli kweli pia unaweza ukaibadilisha kisha ikakusumbua kupatch cert

Security ya simu mara nyingi inategemea na mtumiaji ameset vipi wengi wanatumia kwa kujipa moyo ikiibiwa ataipata bila kuzingatia security za simu
 
Zinabadilishika ila sio kirahisi rahisi ni kazi kweli kweli pia unaweza ukaibadilisha kisha ikakusumbua kupatch cert

Security ya simu mara nyingi inategemea na mtumiaji ameset vipi wengi wanatumia kwa kujipa moyo ikiibiwa ataipata bila kuzingatia security za simu
Ndio maana wale wanao nunua simu used za kukutana stendi au barabarani Kuna ulazima was kucheki IMEI na serial number unaweza kuingia mkenge IMEI inakufunga hivihivi nilikuwaga mnunuzi was simu za mikononi enzi hizo wenzangu watanielewa unakutana na mtu stendi au road mnafanya biashara no risit Wala Nini kama ni bomu linakulipukia tu unakamatwa unakuta simu kaliii bei kitonga kumbe ya mbioo na iyo kufata process za kisheria kuitrack IMEI namba ni mlolongo ndio maana wengi Huwa wanasamehe tu
 
Maduka ya simu nao wamefanya la maaana ukinunua simu IMEI number wanaipiga picha wabongo wengi tukishanunua box tunatupa kulee.
 
Note 10 plus ni mashine, watu waliowahi kuitumia ndo watakuelewa unazungumzia nini. Ukiniwekea hapa note 10 plus na iphone yoyote ile, nitaenda kwa samsung note 10 plus.

In the end kila mtu ana taste yake kwenye brand husika, wapo ambao wataona labda iphone 14,13 ,12 zinakimbiza kutokana na vitu wanavyotafuta , wapo wambao wanaona samsung note 10 na kushuka zinakimbiza.

Nimekuja gundua kila user ana kitu anachokitafuta na hivyo vitu havifanani
 
iPhone, hawa jamaa simu ya milioni mbili wanaweka kioo cha refresh rate ya 60Hz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo wanyama ni Samsung, Xiaomi na Google Pixel
 
Back
Top Bottom