Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Shekhe nihivi huyu mshikaji wako angekuwa anaweza hiyo kazi sidhani kama angekuwa bongo narudia tena sidhani kama angekuwa bongo shekhe kariakoo hapa ingekuwa hicho kitu kinaweze kana watu wengekuwa hawauzi kama spea pia apple store zetu tungekuwa na mzigo kama wenzetu wa android store

mkuu kama unamkumbuka snowden utaelewa ninachotaka kukwambia,yeye anasema kitengo chake walikuwa na uwezo wa kuchukua data za simu ya mtu bila hata kuiwasha,sio iphone wala itel,lakini kwa kazi moja tu,ya matumizi ya kiusalama sio kufungulia wezi waziuze.

nikija katika mtazamo wako,IOS zote zinapigwa kidole,ndio maana haipiti miezi miwili hujapewa security update,unadhani ni kwanini???watu wanaijua IT brother usibishe,shida inakuja simu imeripotiwa server za apple,ikirudi hewani tu kufuri inarudi.kwahiyo kazi sio kutoa lock kazi ni kuificha isionekane,kitu hiki hakipo,ndio maana wanaitoa mtandao ili imei no isijeonekana milele.

unadhani mtu aibiwe leo iphone 12 akaripoti polisi na kesi afungue(kumbuka imei haibadiliki ktk iphone),kisha akutwe nayo mtu mwingine jumapili ijayo,huyo fundi aliyeifungua anajua TCRA wanamdai 15mln na kifungo juu,hakuna fundi atakubali kurisk maisha yake straight kwa ujira wa laki 2.ni sawa na kwenda kuiba bank na panga,utaondoka na hela lakini usile kabisa hiyo hela kwa balaa litakalokukuta.

siku hizi android nazo zimekuwa changamoto kubadiri imei,unawezawekwa imei nyingine baadae ukiupdate mtandao unakwenda na maji.simu inabaki WIFI only.
 
Upo sahihi mkuu ndo maana mimi nikamuuliza priority yake kwenye simu ni nini? Lakini kwa issue za security sijui useme ikiibiwa utaipata afanye kusahau tu

Tunasubiri watu wahack na server za Huawei ili tuwe tunatoa Huawei ID ya simu ngumu kama Mate 40 Pro na ndugu zake

ama ya oppo[emoji1][emoji1]

wana ID yao ile ukisahau password unaanza kulia.
 
Upo sahihi mkuu ndo maana mimi nikamuuliza priority yake kwenye simu ni nini? Lakini kwa issue za security sijui useme ikiibiwa utaipata afanye kusahau tu

Tunasubiri watu wahack na server za Huawei ili tuwe tunatoa Huawei ID ya simu ngumu kama Mate 40 Pro na ndugu zake
Sure, server zao ndio uchawi wao ulipo na sio devices. watu wengi wanazungumzia security ila hata hawaelewi inafanyaje kazi, leo hii hata iPhone 14 kama user akiwa mzembeee imeisha.. maana hata social engineering ni moja wapo ya mbinu inayo waingiza mkenge wengi sana na kujikuta wanapigwa haijalishi iOS au Android .. ila wazee wa iPhone ni wabishi tu
 
mkuu kama unamkumbuka snowden utaelewa ninachotaka kukwambia,yeye anasema kitengo chake walikuwa na uwezo wa kuchukua data za simu ya mtu bila hata kuiwasha,sio iphone wala itel,lakini kwa kazi moja tu,ya matumizi ya kiusalama sio kufungulia wezi waziuze.

nikija katika mtazamo wako,IOS zote zinapigwa kidole,ndio maana haipiti miezi miwili hujapewa security update,unadhani ni kwanini???watu wanaijua IT brother usibishe,shida inakuja simu imeripotiwa server za apple,ikirudi hewani tu kufuri inarudi.kwahiyo kazi sio kutoa lock kazi ni kuificha isionekane,kitu hiki hakipo,ndio maana wanaitoa mtandao ili imei no isijeonekana milele.

unadhani mtu aibiwe leo iphone 12 akaripoti polisi na kesi afungue(kumbuka imei haibadiliki ktk iphone),kisha akutwe nayo mtu mwingine jumapili ijayo,huyo fundi aliyeifungua anajua TCRA wanamdai 15mln na kifungo juu,hakuna fundi atakubali kurisk maisha yake straight kwa ujira wa laki 2.ni sawa na kwenda kuiba bank na panga,utaondoka na hela lakini usile kabisa hiyo hela kwa balaa litakalokukuta.

siku hizi android nazo zimekuwa changamoto kubadiri imei,unawezawekwa imei nyingine baadae ukiupdate mtandao unakwenda na maji.simu inabaki WIFI only.
iShip watakaza fuvu
 
Shekhe nihivi huyu mshikaji wako angekuwa anaweza hiyo kazi sidhani kama angekuwa bongo narudia tena sidhani kama angekuwa bongo shekhe kariakoo hapa ingekuwa hicho kitu kinaweze kana watu wengekuwa hawauzi kama spea pia apple store zetu tungekuwa na mzigo kama wenzetu wa android store
Mzee nenda k/Koo au nikupe namba ya mtu anae zipiga chini izo iOS zako Tena had 15 saiv iOS 15 ilivoiingiaga walisema atakae weza kuzipasua kwanzia iphone 12,13 basi atapewa zawadi wahuni wakathubutu ila ela yake unapata Tecno spark 3 mpya hao wanaouzaga spea nikwamba hawana hela ya bypass imagine iphone 12 au 13 ukitaka ije na full network service 150k Kwa wengine mkasi hiyo ela.
 
Mzee nenda k/Koo au nikupe namba ya mtu anae zipiga chini izo iOS zako Tena had 15 saiv iOS 15 ilivoiingiaga walisema atakae weza kuzipasua kwanzia iphone 12,13 basi atapewa zawadi wahuni wakathubutu ila ela yake unapata Tecno spark 3 mpya hao wanaouzaga spea nikwamba hawana hela ya bypass imagine iphone 12 au 13 ukitaka ije na full network service 150k Kwa wengine mkasi hiyo ela.
Yeah imekuja iphone x ina hello screen nimekula 180k
 
Yeah imekuja iphone x ina hello screen nimekula 180k
Mwambie sasaiv Kuna mwamba nimedirect Kwa jamaa sinza ana 12 Ina hello pia anaenda kuitoa jamaaa uyo mbishi buree iyo iOS 16 ni swala la muda TU haichukui round ye ajui apple wanatoa dau nono ili wamkamate atakae weza kuipasua baadae wambane amewezawezaje.
 
Mwambie sasaiv Kuna mwamba nimedirect Kwa jamaa sinza ana 12 Ina hello pia anaenda kuitoa jamaaa uyo mbishi buree iyo iOS 16 ni swala la muda TU haichukui round ye ajui apple wanatoa dau nono ili wamkamate atakae weza kuipasua baadae wambane amewezawezaje.
Hata mimi nilimwambia wameweka dau hilo ili wajue udhaifu wao ulipo

Maana lazima muhusika atahojiwa kapitia wapi mpaka akaweza kuhack

Yote kwa yote ukibypass kwa iremoval Pro unaweza fanya update kwa iPhone 7 plus lakini sijajua kwa nyingine
 
mkuu kama unamkumbuka snowden utaelewa ninachotaka kukwambia,yeye anasema kitengo chake walikuwa na uwezo wa kuchukua data za simu ya mtu bila hata kuiwasha,sio iphone wala itel,lakini kwa kazi moja tu,ya matumizi ya kiusalama sio kufungulia wezi waziuze.

nikija katika mtazamo wako,IOS zote zinapigwa kidole,ndio maana haipiti miezi miwili hujapewa security update,unadhani ni kwanini???watu wanaijua IT brother usibishe,shida inakuja simu imeripotiwa server za apple,ikirudi hewani tu kufuri inarudi.kwahiyo kazi sio kutoa lock kazi ni kuificha isionekane,kitu hiki hakipo,ndio maana wanaitoa mtandao ili imei no isijeonekana milele.

unadhani mtu aibiwe leo iphone 12 akaripoti polisi na kesi afungue(kumbuka imei haibadiliki ktk iphone),kisha akutwe nayo mtu mwingine jumapili ijayo,huyo fundi aliyeifungua anajua TCRA wanamdai 15mln na kifungo juu,hakuna fundi atakubali kurisk maisha yake straight kwa ujira wa laki 2.ni sawa na kwenda kuiba bank na panga,utaondoka na hela lakini usile kabisa hiyo hela kwa balaa litakalokukuta.

siku hizi android nazo zimekuwa changamoto kubadiri imei,unawezawekwa imei nyingine baadae ukiupdate mtandao unakwenda na maji.simu inabaki WIFI only.
mkuu nikusahihishe/nikutaarifu kitu kimoja
Na iPhone siku hizi zinabadilishika IMEI namba ukiwa na DCSD Cable na Nand Programmer
Unabadilisha serial namba kisha unabypass iCloud
DCSD Cable haizidi elf 50

Nand programmer haizidi 200k

Sema tangu ilipofanyika kamata kamata pale Aggrey nimesitisha kununua hivyo vitendea kazi

Pia ni kosa kisheria kubadilisha IMEI namba sema watu wanajilipua tu
 
Hata mimi nilimwambia wameweka dau hilo ili wajue udhaifu wao ulipo

Maana lazima muhusika atahojiwa kapitia wapi mpaka akaweza kuhack

Yote kwa yote ukibypass kwa iremoval Pro unaweza fanya update kwa iPhone 7 plus lakini sijajua kwa nyingine
Watu wanakalilishwa kuwa iOS hazihakiwi Wala kufanyiwa utundu
 
Unapiga mishe kkoo lakini mishe zako sio ufundi simu wa software

Sasa hivi mpaka iPhone 13 Pro tunamalizana nazo

Unapaswa kuelimishwa zaidi

Yupo shombi shombi aliibiwa iPhone 11 Pro Max akaitrack mara ya Mwisho kuonekana ni China Plaza kisha Likoma hakuiona tena

Kama unajifunza kwa kubishana umefeli mkuu tafuta njia sahihi ya kujifunza

Na kwa sasa tunapoelekea hatutatumia Box wala Dongle ni mwendo wa server tu
Mkuu heshima yako
 
Upo sahihi mkuu ndo maana mimi nikamuuliza priority yake kwenye simu ni nini? Lakini kwa issue za security sijui useme ikiibiwa utaipata afanye kusahau tu

Tunasubiri watu wahack na server za Huawei ili tuwe tunatoa Huawei ID ya simu ngumu kama Mate 40 Pro na ndugu zake
Hii mate 40 ndo haikamatiki mkuu?
 
Mzee nenda k/Koo au nikupe namba ya mtu anae zipiga chini izo iOS zako Tena had 15 saiv iOS 15 ilivoiingiaga walisema atakae weza kuzipasua kwanzia iphone 12,13 basi atapewa zawadi wahuni wakathubutu ila ela yake unapata Tecno spark 3 mpya hao wanaouzaga spea nikwamba hawana hela ya bypass imagine iphone 12 au 13 ukitaka ije na full network service 150k Kwa wengine mkasi hiyo ela.
Wanaweza badili IMEI number kwenye Iphone?
 
mkuu nikusahihishe/nikutaarifu kitu kimoja
Na iPhone siku hizi zinabadilishika IMEI namba ukiwa na DCSD Cable na Nand Programmer
Unabadilisha serial namba kisha unabypass iCloud
DCSD Cable haizidi elf 50

Nand programmer haizidi 200k

Sema tangu ilipofanyika kamata kamata pale Aggrey nimesitisha kununua hivyo vitendea kazi

Pia ni kosa kisheria kubadilisha IMEI namba sema watu wanajilipua tu
Mimi humu JF nina mwamba wangu mmoja tu ndo anabadilisha hizi IMEI ila ni za Samsung, sijui kama Iphone pia zinabadilishwa IMEI number.
 
1. Scanning ya documents bila kutumia 3rd part apps

2. Kutokatika kwa internet uliyoshare na vifaa vyako vingine kama laptop wakati simu inaita au unaendelea kutumia kwa mazungumzo.

Nadhani hizo features mbili kwenye Android hazipo. Kwangu mimi hizo features zinanifanya niiweke iPhone mbele ya simu zingine za Android.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Nina tumia sumsung note 10+ hizi features zipo...ninaweza kuscan bila kutumia app kwa kutumia tu kamera ya kawaida

Lkn pia internet haikatiki kama hio ifoni yako
 
Huawei huzijui mzee. Nimetumia simu kama Samsung, Huawei, na hizo iPhone. Huwa ni badilisha badilisha.. Kwa mtu anae jua simu hawezi beza Huawei hata kidogo. Labda kwa sasa hivi kwa jairi ya vikwazo
kuna kitu ilitokaga inaitwa P40 Pro na Mate 40 Pro, Machine hizo, camera lens ya LEICA mjerumani huyo, America alivoona huo mziki kwa kweli alinyoosha mikono juu ikabidi tu amnyime play store yake maana iphone alikuwa anakwenda kuaibika na kupotea
 
Back
Top Bottom