Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Kiufupi asilimia mkubwa tunaopenda iphone ni kwasababu haishuki thamani kirahisi kama kampuni nyingine za simu
Iphone Ina muonekano Mzee hasa ndani natumia google pixel saiv ila hii iOS 16 imeshanitamanisha nirudi iOS
 
kumbe kosa ni kutumia android sio kuwa samsung??

sasa mbona hapo juu umeorodhesha vingi nje ya IOS!!!!maana ni sawa na kusema IPHONES nje ya kuwa na IOS ni tecno isiyo na matangazo.

ili uwe realistic sio wale wa iphone noma,usiweke ushabiki.
Watu tunaongea tu ila high devices za samsung ni moto mwingine.
 
Unasimulia Kama kijiwe cha kahawa Tu MTU yoyote anayehack iOS 16 lazima atajirike sababu simu nyingi watu wanazo zimesizi Tu na hamna namna
Nimekuuliza kipaumbele chako kwenye simu ni nini? Tuanzie hapo kwanza

Pia ishu ya kuhack sio case kubwa kama unavyodhani wewe

Hao wametoa hiyo offer ili wajue udhaifu wao ulipo

wewe ni mtumiaji wa kawaida sasa sijajua unapozungumzia hacking umelenga nini haswa

Maana hacking inahusisha vitu vingi
 
Nimekuuliza kipaumbele chako kwenye simu ni nini? Tuanzie hapo kwanza

Pia ishu ya kuhack sio case kubwa kama unavyodhani wewe

Hao wametoa hiyo offer ili wajue udhaifu wao ulipo

wewe ni mtumiaji wa kawaida sasa sijajua unapozungumzia hacking umelenga nini haswa

Maana hacking inahusisha vitu vingi

Shekhe hivi 2 million dollar huzitaki kweli au kama kawaida unataka ubishi tuu kifupi bongo hakuna mtu anaeweza kuingusa iso 16 nasema tena hakuna na hayupo sijui huko mbele kwa wezetu wenye data base kubwa
 
Shekhe hivi 2 million dollar huzitaki kweli au kama kawaida unataka ubishi tuu kifupi bongo hakuna mtu anaeweza kuingusa iso 16 nasema tena hakuna na hayupo sijui huko mbele kwa wezetu wenye data base kubwa
Soon IT'S vs programers wataleta majibu kwani iOS 15 walisema oooh kubypass mwisho 12 kama Ina iOS 15 watu wakavuka mipaka Hadi 13 wanaivunja.
 
Soon IT'S vs programers wataleta majibu kwani iOS 15 walisema oooh kubypass mwisho 12 kama Ina iOS 15 watu wakavuka mipaka Hadi 13 wanaivunja.

Mimi nasemea iso 16 shekhe sio 12 or 13 kiufupi iso ni hadithi kubwa tu ila android asilimia 90 inajulikana simu inaibiwa asubuhi tu na asubuhi hiyo hiyo inauzwa bila shida ila iphone ikiibiwa tu watu wanauza kama spea tu sio simu
 
Sijasema iOS 12 au iOS 13 nimmaanisha hivi watu walisema iOS 15 itakuwa mwisho kubypass ni kwenye iphone 12 zilipoingia iphone 13 watu wakapita Nazo pia labda 14 sijui

Wakapitanazo wakinanani hao usije ukatuletea story za kahawa ebu. Toa ufafanuzi vizuri basi
 
Wakapitanazo wakinanani hao usije ukatuletea story za kahawa ebu. Toa ufafanuzi vizuri basi
Sasa ufafanuzi gani unataka mzeee ukitaka kujionea nenda mwenyewe k/Koo iyo iOS 16 tusubiri muda TU iOS 15 walisema ivo ivo.
 
Sasa ufafanuzi gani unataka mzeee ukitaka kujionea nenda mwenyewe k/Koo iyo iOS 16 tusubiri muda TU iOS 15 walisema ivo ivo.

Shekhe mimi nipo kariakoo kiufupi napiga mishe na kuishii k/koo iphone kwanzia 11 ukisahau icloud tu inauzwa kama spea tu na wanzanza wakijitaidi sana inatoka ila haishiki mtandao wowote yanikiufupu itasumbua sana kisoftware so nikopo tu ila android hata mimi nikijipinda na youtube masaa machache tu natoa vizuri tuu bila shida
 
Shekhe mimi nipo kariakoo kiufupi napiga mishe na kuishii k/koo iphone kwanzia 11 ukisahau icloud tu inauzwa kama spea tu na wanzanza wakijitaidi sana inatoka ila haishiki mtandao wowote yanikiufupu itasumbua sana kisoftware so nikopo tu ila android hata mimi nikijipinda na youtube masaa machache tu natoa vizuri tuu bila shida
Kwanza ujue bypass zipo aina nyingi na hiyo unayoisemea ni ya wifi only sim card inakuwa locked zinazofata ni bypass hizi

Hello screen
Icloud activation lock
Turn off FMI
Disabled iphone forgot passcode
Network problem
Iphone kuishia kwenye logo
Software problem.
Izo zote wanafanya sa sijui ipo ambayo unaona hawaziwezi k/Koo nna mshikaj pale ndo ushu zake tatizo la bypass hutoweza kuapdate software yako katika simu akuna kitu kinashinrikana kule.
 
Kwanza ujue bypass zipo aina nyingi na hiyo unayoisemea ni ya wifi only sim card inakuwa locked zinazofata ni bypass hizi

Hello screen
Icloud activation lock
Turn off FMI
Disabled iphone forgot passcode
Network problem
Iphone kuishia kwenye logo
Software problem.
Izo zote wanafanya sa sijui ipo ambayo unaona hawaziwezi k/Koo nna mshikaj pale ndo ushu zake tatizo la bypass hutoweza kuapdate software yako katika simu akuna kitu kinashinrikana kule.

Shekhe nihivi huyu mshikaji wako angekuwa anaweza hiyo kazi sidhani kama angekuwa bongo narudia tena sidhani kama angekuwa bongo shekhe kariakoo hapa ingekuwa hicho kitu kinaweze kana watu wengekuwa hawauzi kama spea pia apple store zetu tungekuwa na mzigo kama wenzetu wa android store
 
Shekhe hivi 2 million dollar huzitaki kweli au kama kawaida unataka ubishi tuu kifupi bongo hakuna mtu anaeweza kuingusa iso 16 nasema tena hakuna na hayupo sijui huko mbele kwa wezetu wenye data base kubwa
Sasa nimegundua tatizo lako lilipo

Tatizo ni kwamba hunielewi ninazungumzia nini pia umekaa kiushabiki zaidi

Mimi sifungamani na upande wowote

Nakuelewesha ila naona hutaki kunielewa

Nakuuliza tena kipaumbele chako kwenye simu nini?
 
Shekhe nihivi huyu mshikaji wako angekuwa anaweza hiyo kazi sidhani kama angekuwa bongo narudia tena sidhani kama angekuwa bongo shekhe kariakoo hapa ingekuwa hicho kitu kinaweze kana watu wengekuwa hawauzi kama spea pia apple store zetu tungekuwa na mzigo kama wenzetu wa android store
Mkuu kukuthibitishia hilo linawezekana lete iPhone yako Aggrey nipo kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa moja jioni

Wee njoo Aggrey usihangaike kuulizia wafate wale waliopanga meza bara barani wale ni madalali wetu watakuleta mpaka ofisini kwetu

Ukitaka permanent pia ipo ni pesa yako
 
Shekhe mimi nipo kariakoo kiufupi napiga mishe na kuishii k/koo iphone kwanzia 11 ukisahau icloud tu inauzwa kama spea tu na wanzanza wakijitaidi sana inatoka ila haishiki mtandao wowote yanikiufupu itasumbua sana kisoftware so nikopo tu ila android hata mimi nikijipinda na youtube masaa machache tu natoa vizuri tuu bila shida
Unapiga mishe kkoo lakini mishe zako sio ufundi simu wa software

Sasa hivi mpaka iPhone 13 Pro tunamalizana nazo

Unapaswa kuelimishwa zaidi

Yupo shombi shombi aliibiwa iPhone 11 Pro Max akaitrack mara ya Mwisho kuonekana ni China Plaza kisha Likoma hakuiona tena

Kama unajifunza kwa kubishana umefeli mkuu tafuta njia sahihi ya kujifunza

Na kwa sasa tunapoelekea hatutatumia Box wala Dongle ni mwendo wa server tu
 
Unapiga mishe kkoo lakini mishe zako sio ufundi simu wa software

Sasa hivi mpaka iPhone 13 Pro tunamalizana nazo

Unapaswa kuelimishwa zaidi

Yupo shombi shombi aliibiwa iPhone 11 Pro Max akaitrack mara ya Mwisho kuonekana ni China Plaza kisha Likoma hakuiona tena

Kama unajifunza kwa kubishana umefeli mkuu tafuta njia sahihi ya kujifunza

Na kwa sasa tunapoelekea hatutatumia Box wala Dongle ni mwendo wa server tu
simu kuwa safe, inategemea na mtumiaji kwa aslimia kubwa. haijalishi anatumia OS ipi..
 
simu kuwa safe, inategemea na mtumiaji kwa aslimia kubwa. haijalishi anatumia OS ipi..
Upo sahihi mkuu ndo maana mimi nikamuuliza priority yake kwenye simu ni nini? Lakini kwa issue za security sijui useme ikiibiwa utaipata afanye kusahau tu

Tunasubiri watu wahack na server za Huawei ili tuwe tunatoa Huawei ID ya simu ngumu kama Mate 40 Pro na ndugu zake
 
Back
Top Bottom