Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung:
  • Storage (expandable)
  • High battery capacity
  • User friendly ( can install apps via Playstore eg Dobi Fasta for Android users)
 
Kila mtu ana interests zake, haina haja ya kuponda upande mwingine.

Binafsi nkmetumia tecno then nikaja Samsung, nilikua samsung fan enzi hizo nimeishia s9. Baada ya apo nikahamia iphone 7 plus, nikaja xs max , 11 pro max na sasa 13 pro max.

Nishazoea iphone sasa, IOS yake na namna ilivo tu, kiasi kwamba hata wenzangu wenye Samsung s22 nikiishika tu nikaitumia kidogo nakua very bored. Na wao pia washazoea samsung zao wakishika iphone yangu wanaona ya ajabu.

Tena mimi sina mambo mengi sijui kufanya customization, kuhamisha mafaili sjui wapi, so sioni haja ya android. Nina matumizi ya kawaida tu

Mimi sipondi samsung, wala android, i don’t care about sjui vitu gani…. Its Just I LOVE IPHONE, na ntaendelea kuzinunua, na siwezi kuziacha labda waache production.

Sio ulimbukeni wala kujiona bora kama wanavosema hapa watu, ni vile tu nina mapenzi ya dhati na iphone, android siwezi hata iwe kali vipi
 
Kila mtu ana interests zake, haina haja ya kuponda upande mwingine.

Binafsi nkmetumia tecno then nikaja Samsung, nilikua samsung fan enzi hizo nimeishia s9. Baada ya apo nikahamia iphone 7 plus, nikaja xs max , 11 pro max na sasa 13 pro max.

Nishazoea iphone sasa, IOS yake na namna ilivo tu, kiasi kwamba hata wenzangu wenye Samsung s22 nikiishika tu nikaitumia kidogo nakua very bored. Na wao pia washazoea samsung zao wakishika iphone yangu wanaona ya ajabu.

Tena mimi sina mambo mengi sijui kufanya customization, kuhamisha mafaili sjui wapi, so sioni haja ya android. Nina matumizi ya kawaida tu

Mimi sipondi samsung, wala android, i don’t care about sjui vitu gani…. Its Just I LOVE IPHONE, na ntaendelea kuzinunua, na siwezi kuziacha labda waache production.

Sio ulimbukeni wala kujiona bora kama wanavosema hapa watu, ni vile tu nina mapenzi ya dhati na iphone, android siwezi hata iwe kali vipi
Jibu swali mkuu umeulizwa hipi simu kali kati ya samsung na iphone?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Jibu swali mkuu umeulizwa hipi simu kali kati ya samsung na iphone?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Samsung model ipi na iphone model ipi? Be specific

Enewei, kwangu mimi iphone ni kali (hizo Samsung sijui ubora wake). I stand to be corrected

By the way, mimi nilikua najibu mawazo ya wadau hapo juu waliokua wanasema kuwa wenye iphone ni watu wanaopenda show off.

Nimepimgana na idea yake kwa kutoa sababu zangu zinazonifanya nitumie iphone
 
Narudia n matunzo ya mtu, simu zangu siwekag protector na hazijawah kupata hata scratch tu na hakuna watu wana simu zimelika pemben ya vioo kama watu wa iphone
, eti unaongoza , kwamba ujisemeee tu upuuz alafu useme unaongoa

Fact n kama

Ram , leo iphone 14 zina RAM 4 mpaka 6 , wakati samsung ram hizo zilikua kwenye matoleo kuanzia 2016, leo iko kwenye RAM 16

Technology ya vioo iliyopo kwenye iphone 14 ambayo ndio inatumika kwa mara ya kwanza na iphone , samsung ako nayo since 2016

Wakat Iphone kwa mara ya kwanza amevuka megapix 12 kwenye iphone pro max, samsung mwaka 2020 kwenye galaxy s20 ultra aligonga megapix 108 na samsung s20 5g yenyewe ni megapix 48 ambayo leo ndio pro max 14 amekuja nayo , s20 n simu za 2020

Wakat iphone bado ako kwenye 4k@60 fps
Samsung alishafika 8k@24fps ambayo unaweza recodia movies ukauza netflix Amazon etx ikachezwa

Samsung za kuanzia 2020 hiz galaxy s series zinaenda hadi 920 fps kitu ambacho bado iphone anaota labda iphone 30 huko ndio atakuja kuwa nacho


Nimekuchapa ngapi hapo.?

Ninyamaze tu , unatumia iphone 12 yenye vioo vinavyofanana na infinx unakuja vimbia watu wa samsung? Acha bange
Umemaliza kila kitu. Iphone ni kifungo cha kifahari
 
Samsung model ipi na iphone model ipi? Be specific

Enewei, kwangu mimi iphone ni kali (hizo Samsung sijui ubora wake). I stand to be corrected

By the way, mimi nilikua najibu mawazo ya wadau hapo juu waliokua wanasema kuwa wenye iphone ni watu wanaopenda show off.

Nimepimgana na idea yake kwa kutoa sababu zangu zinazonifanya nitumie iphone
Ee umesema samsung ujui ubora wake nawakati umetangulia kusema umetumia samsung s9 , bhasi wew ujui simu kaa tu utulie mkuu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwani ni lazima uwe na jamiiforums kwenye devices zako zote unazotumia?
hiyo Nokia c2 na iPhone yako ipi inayokaa chaji muda mrefu?
Binafsi natumia Xiaomi Mi 11 Pro yenye Qualicomm snapdragon 888 5G Ram 12GB internal 256GB, Battery 5000 mAh
Ukitaka kupata full specifications nenda gsm arena utaikuta na ni simu ya mwaka jana hii

Halafu kuhusu security za iPhone hizo iCloud tunaruka nazo kama kawaida hakuna simu ambayo haiwezekani kwa sasa

Wao wanaboresha security na sisi tunaangalia namna ya kupita nazo hizo security zao

Simu pekee inayotuumiza kichwa kwa sasa kwa ubora wa security ni Huawei Mate 40 Pro na ndugu zake wanaotumia HiSilicon Kirin 9000(hii ni chip ya Huawei wenyewe) japo na yenyewe inautoaji wake kwa hardware

kwa sasa mpaka iPhone 13 Pro iCloud tunatoa sijajua wewe kipaumbele chako kwenye simu unaangalia nini

Mimi binafsi naangalia kioo na utunzaji chaji maana kuna muda huwa nalazimika kusafiri na huwa sizimagi data
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sujui kama umeelewa ulichoandika, na ukute unatumia Tecno hapo na ishapasuka kioo tayari.
Hack iphone ulipwe samsung ni android inahakiwa tu kirahis data za iphone zinakuwa salama sababu ya mfumo endeshi wake while kwa android usalama mdogo sana
 
hiyo Nokia c2 na iPhone yako ipi inayokaa chaji muda mrefu?
Binafsi natumia Xiaomi Mi 11 Pro yenye Qualicomm snapdragon 888 5G Ram 12GB internal 256GB, Battery 5000 mAh
Ukitaka kupata full specifications nenda gsm arena utaikuta na ni simu ya mwaka jana hii

Halafu kuhusu security za iPhone hizo iCloud tunaruka nazo kama kawaida hakuna simu ambayo haiwezekani kwa sasa

Wao wanaboresha security na sisi tunaangalia namna ya kupita nazo hizo security zao

Simu pekee inayotuumiza kichwa kwa sasa kwa ubora wa security ni Huawei Mate 40 Pro na ndugu zake wanaotumia HiSilicon Kirin 9000(hii ni chip ya Huawei wenyewe) japo na yenyewe inautoaji wake kwa hardware

kwa sasa mpaka iPhone 13 Pro iCloud tunatoa sijajua wewe kipaumbele chako kwenye simu unaangalia nini

Mimi binafsi naangalia kioo na utunzaji chaji maana kuna muda huwa nalazimika kusafiri na huwa sizimagi data
Unasimulia Kama kijiwe cha kahawa Tu MTU yoyote anayehack iOS 16 lazima atajirike sababu simu nyingi watu wanazo zimesizi Tu na hamna namna
 
Usi comment kama umebanwa haja. Usifikiri wote wa kuja, huenda nimeanza tumia iPhone kabla yako. Nachouliza naelewa sio we mshobokaji
Mimi iphone nimeanza kutumua 2010 wewe je? Kama huna unalofahamu piga kimya!!!! [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Back
Top Bottom