Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaielewa Google pixel halafu Samsung?[emoji3] hujui kua pixel zinaitegemea Samsung kwa 70%Watakubishia ila huwa naIelewa sana
iPhone ambazo wameondoa kilio cha battery ni hizi 13.. Ila kushuka chini majangaiphone is the Best🥰❤️🔥
Binafsi niliwahi kutumia Blackberry, nikaja Samsug “S” Series & Galaxy Note, kisha nikahamia iphone nikaridhishwa! Pia kwa Experience yangu iphone battery zao Hudumu zaidi ya samsung.
Kuna wanafunzi first year wana iPhone 13 🤠🤠🤠 mjini ukija kwa fujo mtu anaona kama simu ya iPhone ndio kuwa na hela.Iphone inahitaji mtu mwenye hela 😄 sawa kiongozi 👍
BB walikuwa wa moto sana.. Ila ndio ivyo walienda na maji.. Simu yangu ya mwisho ilikuwa BB bold, na Z10.... Nime miss sana hawa jamaaKuna kampuni yenye security ya gadgets zake kama blackberry? Wabishi wa huko daslama nisaidieni hapa.
Aisee, umenikumbusha mbali sana.BB walikuwa wa moto sana.. Ila ndio ivyo walienda na maji.. Simu yangu ya mwisho ilikuwa BB bold, na Z10.... Nime miss sana hawa jamaa
Kwann mkuu, mbona samsung ni simu nzuri sanaSirudii tena kutumia Samsung toleo lolote
Bei ya kioo ni sawa na kununua simu mpyaKwann mkuu, mbona samsung ni simu nzuri sana
Ndio muwe watunzaji, 🤠🤠Bei ya kioo ni sawa na kununua simu mpya
Hapa ndo changamoto ilipo, tena changamoto kweli. Simu ya 1M kioo 600'000, nikivunja kioo kwa kweli nanunua simu mpya tuBei ya kioo ni sawa na kununua simu mpya
Sasa natumia Google Pixel 🥴Ndio muwe watunzaji, 🤠🤠
Ndio hivyo mkuu kioo ni sawa na kununua simu mpyaHapa ndo changamoto ilipo, tena changamoto kweli. Simu ya 1M kioo 600'000
Binafsi ni mtunzaji sana wa simu na si mpenzi wa protector wala cover kabisa, ila ndugu, accidents do happen- out of nowhere.Ndio muwe watunzaji, 🤠🤠
Mimi Simu ikipata mchubuko tu sio crack mchubuko tu siitaki tenaBinafsi ni mtunzaji sana wa simu na si mpenzi wa protector wala cover kabisa, ila ndugu, accidents do happen- out of nowhere.
😆 😆 😆 , kwenye hili tunaendana sana, na sipendi kukaa na kitu mda, napenda kitu kipya.Mimi Simu ikipata mchubuko tu sio crack mchubuko tu siitaki tena
Mimi sitaki kujadili vingine kwenye hizo simu mbili. Nataka tujadili vioo tu.
Aiseee vioo vya Iphone viko kama Vya Tekno na Infiniksi. Nipo hapa kuwapopoa iphone users. Mje hata 100 hamtashinda huu mjadala.
iSheep nawasubiri.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] wabongo bhanaMimi Simu ikipata mchubuko tu sio crack mchubuko tu siitaki tena