42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
mkuu kuanzia iphone x vioo walianza kununua kwa samsung.
ujanja wanaofanya ni kubana resolution,tofauti na wenzao wa samsung.
Wakiachia resolution wanajua fika wataumbuka kwenye suala la charge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kuanzia iphone x vioo walianza kununua kwa samsung.
ujanja wanaofanya ni kubana resolution,tofauti na wenzao wa samsung.
Mwambie huyo. Yeye anahisi kioo kikishakuwa Oled basi ni kizuri.Kaa kimya hujui kitu wewe
Itakua hujawahi kutumia flagship ya uhawei mkuuAcha kuota ndoto za mchana Eti Huawei!
VPN ganiHapa natumia Samsung s10 plus 5g huu ni mwaka wa nne simu inamuonekano mzuri kiooo Safi kuliko hata hii iPhone 14 pro max[emoji3]
Hapa nilipo hakuna mtumiaji wa iPhone kohoa mbele ya hiii simu,kwanza hua wakiishika wanaona kabisa washika simu sio sabuni
Mwisho mm kama mtumiaji wa android hapa natumia vpn nishasahau kununua mb nashusha movies series kama sina akili nzuri
Samsung oyeeee
View attachment 2351333
Unaekewa nyimbo🤔Natumia samsung naona nitaendelea kutumia
Nikikumbuka jinsi ipod ilivyokua inanitesa kutafuta internet cafe yenye itunes ili kuweka nyimbo sitaki kurudi tena huko 😃 naona na simu zao ndio hivyo hivyo
Ninaelewa nyimbo?Unaelewa nyimbo🤔
Kwan unasemea Huawei ipi..unajua chanzo Cha kuzoofishwa hip kampuni wazungu waliona nini mbele? Shut that f*ckng mouth😂😂 Hi hii Huawei inayocorrupt mafiles! Jamani jamani ndio maana nilisema watu wa infinix na tekno mkae pembeni!
Wewe security imekusaidia nini, tukiiba simu tunaenda kuuza spea au kubadili logic board.Security yao ni 0! How do you call it friendly user?
This comment shows how wewe ni mweupe when it comes to smartphones.Cwezi tumia mchina mkuu haswa Huawei ambao ni cm ya hovyo unanishangaza sana kama nawewe ni mtumiaji wa Huawei!
Mate 50, naona wametumia Snapdragon kikwazo kimeondolewa nini?This comment shows how wewe ni mweupe when it comes to smartphones.
Kuna flagships za Realme na Vivo zipo tu zimepoa ila ni simu kali sana, Kuna xiaomi 12s ultra, kuna huawei kuanzia mate 30 pro kuja huku mbele.
Siku ukizijua simu nzuri uje tudiscuss.
Achana na hizo mkuu njoo iphone hotojuta trust me! Iphone inaongoza kwa kila kitu kwenye upande wa smartphones smartwatch na laptops au computer!
Si ndio mmarekani alichokuwa anataka!Mate 50, naona wametumia Snapdragon kikwazo kimeondolewa nini?
Huawei simu zao zilikuwaga zinasifika sana kwa kuwa hazistackstack hata uikute imetumika 5 years.Huawei huzijui mzee. Nimetumia simu kama Samsung, Huawei, na hizo iPhone. Huwa ni badilisha badilisha.. Kwa mtu anae jua simu hawezi beza Huawei hata kidogo. Labda kwa sasa hivi kwa jairi ya vikwazo
Hapa unaexpose level ya ujinga wako.😂😂 Hi hii Huawei inayocorrupt mafiles! Jamani jamani ndio maana nilisema watu wa infinix na tekno mkae pembeni!