Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Nilichogundua hapa wengine wanapozungumzia Samsung wanazungumzia hizi mid-range Samsung kama A-series hizo ni kwa ajili ya wenye kipato cha chini. Na hapa Samsung yuko sahihi kwa sababu alitaka pia awe na soko kwa watu wa hali ya chini aende sawa na simu za Kichina kama Tecno, Infinix, Vivo, Xiaomi n.k

Samsung flagship phones ni balaa lingine hapa tunazungumzia sasa Galaxy S-series

iPhone anangoja hapo kwenye Galaxy S‐series

Ni vile tu iPhone ni Mmarekani anajua jinsi ya kuibrand bidhaa yake
Cm ambayo ilikuwa ni flagship miaka hiyo ni nokia ikaja blackberry. Then iphone took over. Iphone ukiangalia upande wa picture videos software security na hardware ni unique in it's way. Kama ni first time user wa iphone lazima ujione mshamba flani hivi unlike Samsung.
 
Cm ambayo ilikuwa ni flagship miaka hiyo ni nokia ikaja blackberry. Then iphone took over. Iphone ukiangalia upande wa picture videos software security na hardware ni unique in it's way. Kama ni first time user wa iphone lazima ujione mshamba flani hivi unlike Samsung.
Mkuu unajua maana ya flagship?
 
natumia iphone,[emoji28][emoji28]ila ukiona mtu ana iphone anaidiss samsung,jua tu katumia samsung za hapa na pale.

mtu ambaye katika harakati zake kakutana na s8 kwenda juu,lazima apate kigugumizi kuisimanga samsung.

apple wenyewe katika kuhakikisha wanatoa kile kinacholalamikiwa na wateja kwa sasa zipo apps unawezatumia kuweka ringtone za miziki kwenye simu ya iphone,tofauti na hapo awali kabla ya IOS 15.6 ilikuwa ni uchuro,mpaka uparangane kweli kweli,hii ni kusogea karibu zaidi kwa wateja zaidi.

siku hizi nyimbo,video na hata mafile makubwa unawezapokea kupitia apps kama xender na documents nk,haihitaji jasho kama zamani.

kkutwa hapo tunakwenda kuiona IOS mpya 16 ikiwa na muonekano tofauti kabisa wenye machojo yaliyopo android miaka kadhaa.

allways on,hii ipo samsung toka 2016,apple wanaweka mwaka huu.

iphone ni simu poa sana,ila hand to hand na samsung,utapata faida 16 samsng huku apple una 9.
We jamaa unajua,mi nina simu zote hizo ila nayopenda kutumia mara kwa mara ni Samsung wako vizuri kuliko Iphone
 
Ndio nafahamu mkuu karibu kuendelea kuniuliza.
Sawa

Labda tunatofautiana kwenye uelewa

Flagship refers to the most advanced product in the line. For example, a flagship smartphone is the top-end phone made by the company.

Ninachoelewa tunapozungumzia flagship ni ile biadhaa bora kabisa ya kampuni. Kwa mfano Samsung flagship phones ni Galaxy S-series sio A-series au M-series kwa sababu ziko most advanced na ni top-end phones
 
Sawa

Labda tunatofautiana kwenye uelewa

Flagship refers to the most advanced product in the line. For example, a flagship smartphone is the top-end phone made by the company.

Ninachoelewa tunapozungumzia flagship ni ile biadhaa bora kabisa ya kampuni. Kwa mfano Samsung flagship phones ni Galaxy-series sio A-series au M-series kwa sababu ziko most advanced na ni top-end phones
Upo sawa kabisaaa sikubishii. Sasa niulize swali lako.
 
Cm ambayo ilikuwa ni flagship miaka hiyo ni nokia ikaja blackberry. Then iphone took over. Iphone ukiangalia upande wa picture videos software security na hardware ni unique in it's way. Kama ni first time user wa iphone lazima ujione mshamba flani hivi unlike Samsung.
Hakuna iphone yeyote inayo izidi chochote Galaxy s22 ultra iliyopo sokon kwasasa

Hata hizo iphone 14, hakuna kitu inaizidi samsung galaxy s22

Mnaenda nunua Samsung A series mnazitumia kama kipimo, njoo kwenye galaxy S series huku
 
Hakuna iphone yeyote inayo izidi chochote Galaxy s22 ultra iliyopo sokon kwasasa

Hata hizo iphone 14, hakuna kitu inaizidi samsung galaxy s22

Mnaenda nunua Samsung A series mnazitumia kama kipimo, njoo kwenye galaxy S series huku
Poa twende na facts sasa sio kubishana tuu. Tuanze na hardware ipi ni durable kati ya hizo cm 2?
 
Ndio maana unaona marue ruwe

S9 toleo la 2018 unalinganisha na simu toleo la 2020? I phone 12 lmganisha na samsung galaxy s20, hakuna kitu unasogelea hapo
Nimeshakuuliza swali we ni jibu.
 
Hapa natumia Samsung s10 plus 5g huu ni mwaka wa nne simu inamuonekano mzuri kiooo Safi kuliko hata hii iPhone 14 pro max[emoji3]

Hapa nilipo hakuna mtumiaji wa iPhone kohoa mbele ya hiii simu,kwanza hua wakiishika wanaona kabisa washika simu sio sabuni

Mwisho mm kama mtumiaji wa android hapa natumia vpn nishasahau kununua mb nashusha movies series kama sina akili nzuri


Samsung oyeeee
View attachment 2351333
Mkuu hiyo s10 + 5g ni balaaaa😁😁😁

Kiukweli samsung wamewekeza sana kwenye displays, na ndo maana iphone pia kwenye toleo la jipya wametumia displays za samsung "Gorilla Glass ".
 
Huawei alikuwa na balaa nyingine kabisa, mpaka Google aliwahi kucollabo naye wakatoa simu moja kali sana, enzi za matoleo ya simu za Nexus, enzi hizo anacollab na makampuni mbalimbali. Kabla hajaanza kutoa simu yeye kama yeye. Hii hapa ni Huawei Nexus 6P
View attachment 2352934
Hii ni miaka mingi iliyopita, na huawei alikuwa moja ya brand zinazoheshimika sana. Huawei aliwekewa vikwazo vingi ambavyo vilipelekea akashuka sana kiushindani.
Kuna jamaa hajui ilitoka huawei tishio kwa maisha ya simu flani ..yeue anasema huawei ina stuck sijui anazungumzia y330 ile
 
Back
Top Bottom