National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Nina 30 na nina 30Pro hazijawai nipa shida. Mda mrefu sijawai pata shida nazoHuawei simu zao zilikuwaga zinasifika sana kwa kuwa hazistackstack hata uikute imetumika 5 years.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina 30 na nina 30Pro hazijawai nipa shida. Mda mrefu sijawai pata shida nazoHuawei simu zao zilikuwaga zinasifika sana kwa kuwa hazistackstack hata uikute imetumika 5 years.
Samsung for photos, Iphone for videos.Tuanze na camera kwanza ipi ina camera bora kati ya Samsung na iphone be honest!
Simu nzuri sana hizo.Nina 30 na nina 30Pro hazijawai nipa shida. Mda mrefu sijawai pata shida nazo
Umejileta sasa unataka linganisha picha za iphone na Samsung National Anthem
Ilishaipiku, Iphone alikuwaga nafasi ya 3 hatujasahau.We utakuwa unaongelea zile huawei za miaka ya 2012/kurudi nyuma...Kipindi hiko huawei ilikuwa kawaida...Saivi huawei ni moto wa kuotea mbali...kwa trend za mauzo zilivyokuwa ilikuwa inaonekana kabisa huawei inakuja kuipiku iphone kwa mauzo.. wamarekani wakaona isiwe kesi wakaipga vikwazo...Sasa jiulize makampuni ya simu china ni mengi, kwann waizuie huawei tu?
Sawa Kondoo wa apple.Asantee sana mkuu hawa samsung sympaphizers hawataki kuukubali ukweli mchungu especially kaka yangu National Anthem
Sawa ndugu, sisi wa TECNO na INFINIX ngoja tupite kushoto.....Ni brand gani unaikubali kuanzia upande wa software zao, camera, battery life, video na durability. Binafsi Naikubali sana mnyama iphone ambaye hana mpinzani!
N.B WALE WA TEKINO NA INIFINIKSI CHONDE CHONDE NISIWAONE HUKU!
View attachment 2351211View attachment 2351212
Huyo jamaa anasifia Iphone kwenye camera akaangalie comparison ya google pixel 6 na iphone 13 pro kwenye channel ya Mr. Whosetheboss,Google pixel ndio simu
True kabisaMimi sitaki kujadili vingine kwenye hizo simu mbili. Nataka tujadili vioo tu.
Aiseee vioo vya Iphone viko kama Vya Tekno na Infiniksi. Nipo hapa kuwapopoa iphone users. Mje hata 100 hamtashinda huu mjadala.
iSheep nawasubiri.
Hiyo at least kidogo inakuja kuja haswa kwenye security kama ile google pixel 6!
Huawei alikuwa na balaa nyingine kabisa, mpaka Google aliwahi kucollabo naye wakatoa simu moja kali sana, enzi za matoleo ya simu za Nexus, enzi hizo anacollab na makampuni mbalimbali. Kabla hajaanza kutoa simu yeye kama yeye. Hii hapa ni Huawei Nexus 6PCwezi tumia mchina mkuu haswa Huawei ambao ni cm ya hovyo unanishangaza sana kama nawewe ni mtumiaji wa Huawei!