42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
I saw their videos japo hazikuwa na sauti yaani its like binadamu. Huyu kaonesha picha tu.Hata me hii imenipa kigugumizi cha kuwaza..! Sabu pamoja na kuijua tech juu juu lakini ni zaidi ya kunisuprise..! Sio ma robot na hawa controliwi na binadamu..!! Wajuzi zaidi wa maswala ya Automotive waje watupe elimu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app