Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

Muda sasa wa binadamu tuanze kuishi kama tuko Edeni.

Wafanyakazi washapatikana. Ni Bata 24/7
 
Wataweza kutupatia mabaharia tule tunda kimasihara?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ahaa nshakupata mkuu maana linaleta ukakasi kidogo
technology inakua kwa kasi ila kutengeneza kitu kama binadamu aisee itachukua muda sana kufika huko kwanza reasoning ya binadamu you cannot compare a kitu chochote na jinsi binadamu anavyorespond ni balaa.
Hebu fikiria ni hesabu ngapi ubongo wako unafanya kwa siku pasipo hata wewe kuwa na habari mfano
Unataka kuvuka barabara unaona gari linakuja ubongo wako utacalculate speed ya gari na umbali lilipo ita calculate umbali kutoka upande ullipo mpaka upande wa pili na kujua utembee kwa speed gani ambayo utaweza vuka salama kabla gari halijakufkia vyote within milli seconds.
same applied ukiwa unatembea uko bsy unachat na simu lakini unaweza kukwepa vingingi na watu pasipo hata kutazama wala kuwa na habari.
Kwasasa wanasayansi wanadai binadamu ana more than 5 senses actually wanadai binadamu ana 24 senses.
hatutegemea kuona, kuhisi, kunusa, kusikia, na kushika kutambua vitu. kuna senses nyingine zipo na huwezi zieleza kabisa,
We are the most complicated thing kwakweli
 
technology inakua kwa kasi ila kutengeneza kitu kama binadamu aisee itachukua muda sana kufika huko kwanza reasoning ya binadamu you cannot compare a kitu chochote na jinsi binadamu anavyorespond ni balaa.
Hebu fikiria ni hesabu ngapi ubongo wako unafanya kwa siku pasipo hata wewe kuwa na habari mfano
Unataka kuvuka barabara unaona gari linakuja ubongo wako utacalculate speed ya gari na umbali lilipo ita calculate umbali kutoka upande ullipo mpaka upande wa pili na kujua utembee kwa speed gani ambayo utaweza vuka salama kabla gari halijakufkia vyote within milli seconds.
same applied ukiwa unatembea uko bsy unachat na simu lakini unaweza kukwepa vingingi na watu pasipo hata kutazama wala kuwa na habari.
Kwasasa wanasayansi wanadai binadamu ana more than 5 senses actually wanadai binadamu ana 24 senses.
hatutegemea kuona, kuhisi, kunusa, kusikia, na kushika kutambua vitu. kuna senses nyingine zipo na huwezi zieleza kabisa,
We are the most complicated thing kwakweli
exactly na shukrani mkuu
 
Siku za mwisho hizi tukatae tukubali ila ndio ukweli pili hakuna mwanasayansi yoyote atakae tengeneza kitu chochote chenye ufahamu na uelewa kama mwanadamu hakuna we are so complicated ni mungu tu ndio anajua siri ya kuumbwa kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu swala la kunjunjana? Nikimuona nikimtongoza ataelewa akielewa 6*6 atakuwa na hisia? Hahahah
 
Aise!! Ukisoma hii comment section unaweza ukasema Tanzania ni nchi ya vilaza
 
Najiuliza maswali hapa sipati jibu

Wanaweza kuumwa kama mimi?

Wanahisi njaa kama mimi?

Au Wanaenda haja kama nyinyi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom