Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Hakuna kitu kitatengenezwa kwa mfano wa binadamu kifikie uwezo kama wa binadamu.
Never on Earth.
Sent using Jamii Forums mobile app
Never on Earth.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado saana
Inaitwa bida'aWavivu wa tafakuri watasema ni kufuru
Wengine hukimbilia kusema washindwe na walegeeInaitwa bida'a
Kuumwa si sehemu ya maisha halisi ya watu maana watu tunaweza kuishi bila kuumwa tukifuata utaratibu wa asili wa jinsi ya kula.
Majibu kwa maswali mengine ni kutumia akili tuu.
kama alivoelezea mtoa maada. Na kama unavowaona kwenye hizo pichawakoje mkuu
NDIYO! We angalia tu zile Gari za Mkaa, ndo utapata jibu! Au kwani hujawahi kuona gari iko gereji?! Ukiona hivyo, ujue ndo inaumwa hiyo! Au hujaona Breakdown ikiwa imebeba gari gonjwa?Najiuliza maswali hapa sipati jibu
Wanaweza kuumwa kama mimi?
Ngoja nikuulize! Hivi ukiwa na ile njaa kweli kweli, huachagi kufanya kazi?! Na kama ni mtoto, hujawahi kuona anavyosusa kila anachotumwa kila anapojisikia njaa?! Kuwa na IST yako na isiipe chakula cha wese uone kama haitafanya kama hayo hapo juu!Wanahisi njaa kama mimi?
Ndo nimetoka kumwaga oil chafu sasa hivi!Au Wanaenda haja kama nyinyi?
Watu mnachanganya hata siyo watu ni platform tu yani unazungumza naye kwenye screen kama ya tv na wala siyo mtu ni real time rendered animation iliyocanganywaa na artificial intelligence usidhani utaweza kumshika. Kwanza hata hawajafika robo ya uwezo wa binadamu hata hizo emotions bado sana na wako slow hata kurespond. they are not tangible ni animation that unaongea nayo kwenye screenkama alivoelezea mtoa maada. Na kama unavowaona kwenye hizo picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni ujinga huo wa kulishwa maneno siku za mwisho zina uhusiano gani na maendeleo ya tecnolojia
Mwisho wako wewe labda!
Huyo jamaa Sal-techtalk Tv napendaga sana jins anavyoongeaga..miss zomboko, Aiseee nmeona hii kitu jana kwa Youtuber mmoja anajiita Sal ana channel hake youtube inaitwa TechatalkTV.
Hatari sana hao Neon.
Sent using Jamii Forums mobile app
NDiyo hivyo sema watu wameelewa vibaya wakahisi labda ni tangibleHivi sio kwamba wanakuwa kama program ndani ya device kama simu au computer?
frictionless gari zitatembeaje? Au watabadili na mfumo wa matairi.Baada ya miaka 30 ukoloni utarudi upya sababu hatuendani na kasi ya maendeleo ya dunia.
Mfano, wakati sisi tunapambana na kujenga barabara za lami, wenzetu wako kwenye mikakati ya kujenga frictionless roads. So baada ya miaka 10 hizi tarmac roads zitakuwa useless.
Unforgetable
it means wanatumia hewa kama sisi na damu au ikoje apokama alivoelezea mtoa maada. Na kama unavowaona kwenye hizo picha
Sent using Jamii Forums mobile app
ahaa nshakupata mkuu maana linaleta ukakasi kidogoWatu mnachanganya hata siyo watu ni platform tu yani unazungumza naye kwenye screen kama ya tv na wala siyo mtu ni real time rendered animation iliyocanganywaa na artificial intelligence usidhani utaweza kumshika. Kwanza hata hawajafika robo ya uwezo wa binadamu hata hizo emotions bado sana na wako slow hata kurespond. they are not tangible ni animation that unaongea nayo kwenye screen