Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Tatizo ni kwamba, linapokuja suala la vita Allah huwa anajifichaAllah awasaidie tuu hata kuwapa faraja ya uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni kwamba, linapokuja suala la vita Allah huwa anajifichaAllah awasaidie tuu hata kuwapa faraja ya uongo
Sisi wakulima wa mihogo tunajua jinsi ya kungoa mhogo mkubwa bila kuuharibu, unaanza na vile vidogodogo vya pembeni huku ukiendelea kwenda chini kwa kuuzunguka mhogo mkubwa.Soon Iran atafikiwa Kwa ufasaha kabisa, alafu kiwake
Tatizo linapokuja suala la vita Allah huwa anajificha
Mungu wa Israel anajihusisha katika vita ya Watu wakeMiungu yote haijihusishi na baadhi ya ishu za binadamu ikiwemo Vita
Hilo ndo linasubiriwa kwa hamu kubwa.Soon Iran atafikiwa Kwa ufasaha kabisa, alafu kiwake
Kweli vita strategy tu na akili Sasa hawa wengine sijui wanatumia akili ipi ,,,watajua wenyeweSisi wakulima wa mihogo tunajua jinsi ya kungoa mhogo mkubwa bila kuuharibu, unaanza na vile vidogodogo vya pembeni huku ukiendelea kwenda chini kwa kuuzunguka mhogo mkubwa.
Cheza na Waziri wa Israel anakwambia dawa moto ni motoJeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.
Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.
Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.
Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.
![]()
Updates: Israeli attacks on Gaza shelters kill 15 people
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Thursday, December 19.aje.io
Hawa wajinga wanajisumbua Sana na vita wasioiweza itachukua miaka 500 hawataweza kushindana na IsraelAkimtaka yeyote anamla tu bila upinzani wowote. Jeuri sana Israel.
Pumbavu eti limekiuka sheria za kimataifa kule Ukraine bwana ake Putin hakukiuka sheria za kimataifa?Jeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.
Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.
Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.
Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.
![]()
Updates: Israeli attacks on Gaza shelters kill 15 people
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Thursday, December 19.aje.io
Iran anaita hilo ni shambulizi la kigaidi ili hali magaidi wake huichokoza Israel kwa kurumisha maroketi eti wanawatetea ndugu zao wa palestina wa kichapo Iran inasema Israel inakiuka Sheria za kimataifa ila magaidi wa Yemen wakilipua mameli na kuirushia Israel maroketi hakuna keleleJeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.
Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.
Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.
Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.
![]()
Updates: Israeli attacks on Gaza shelters kill 15 people
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Thursday, December 19.aje.io
hata mi mwenyewe hushindwa kuelewa huu ni unafiki wa aina ganiPumbavu eti limekiuka sheria za kimataifa kule Ukraine bwana ake Putin hakukiuka sheria za kimataifa?
Jordan, Saud ArabiaKapita anga gani?
Kizazi teuleAkimtaka yeyote anamla tu bila upinzani wowote. Jeuri sana Israel.
Washenzi wakija watakwambia Israel inawaogopa WAOUTH mara hamas mara Iran lakini me naona anapiga popote anapojisikia Yani popote halafu majamaa yamezoea mitanange kama hiiJeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.
Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.
Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.
Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.
Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.
![]()
Updates: Israeli attacks on Gaza shelters kill 15 people
These were the updates on Israel’s war on Gaza for Thursday, December 19.aje.io