Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Yeah. Hawa watu aina ya kobaaz walishaambiwa na kuonywa sana kamwe wasimchokoze huyo Kidume lakini hawasikii. Ngoja tuone.Israel anajipigia tu popote pale Middle East dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah. Hawa watu aina ya kobaaz walishaambiwa na kuonywa sana kamwe wasimchokoze huyo Kidume lakini hawasikii. Ngoja tuone.Israel anajipigia tu popote pale Middle East dah
Ilipigwa jana,ni wazi kuripoti habari kama hiyo ndani ya israel ni jinai, habari hizo hutolewa na IDF tuTel aviv ipigwe alafu iwe siri huu ni uongo mtakatifu
Nakazia hoja.Tel aviv ipigwe alafu iwe siri huu ni uongo mtakatifu
Kupigwa ni kawaida kwenye vitaIlipigwa jana,ni wazi kuripoti habari kama hiyo ndani ya israel ni jinai, habari hizo hutolewa na IDF tu
Picha za gaza tu ukiangalia tu zinakupa picha hapa uharibifu umefanyika haswa watu wamechezea kichapoNakazia hoja.
VIDEO: Vituo vya kuzalisha umeme nchini YEMEN vikiteketea baada ya Israel kufanya mashambulizi ya Anga.
View: https://youtu.be/5mptcsf2z9w?si=qbZsrahbaj2KMMTT
Kwani allah wao ndo aliwatuma kuukumbatia mzinga wa nyuki???Allah awasaidie tuu hata kuwapa faraja ya uongo
Sasa ww umezipataje mkuu? Au ww ni mwana-IDF?Ilipigwa jana,ni wazi kuripoti habari kama hiyo ndani ya israel ni jinai, habari hizo hutolewa na IDF tu
Anasemaje huyo mhouthi wa Temeke?Kuna mhouthi mwingine wa temeke mikoroshini huyu
Adiosamigo
Kuchereeeee.Kumekuchaaaaaa
Naa kweli. Anawajulia sana hao majamaa. Anatwanga halafu anawaacha wakipepeta. Atarudi baadaye kukagua ubora wa kazi ilofanyika hapo au atawaacha waseme wenyewe. Daadek'.Akimtaka yeyote anamla tu bila upinzani wowote. Jeuri sana Israel.
Hapana. Hawavurugi Amani kila sehemu bali wanawaadabisha wahuni kama hao Houthis. Inakuwaje kakikundi ka kigaidi kanathubutu kuzuia njia eti watu wasipite?? Jinga sana. JW hawawezi kwenda huko kujiingiza katika maujinga ya Kobaaz.Ni muda Sasa jw kwenda huko kuzuia uhuni wa israel.kila sehemu wao wanavuruga amani.
VIDEO: Matenki ya Mafuta yakiteketea katika mji mkuu wa Yemen SANAA baada ya jeshi la Israel kufanya Mashambulizi Makubwa.
View: https://youtube.com/shorts/SsrOKDDFYjw?si=iZ19is135PVtnEYH
Yes exactky. USA alisha mwanesha Myahudi kinachotakiwa kufanya.Yahudi ameamua
Big up
Songa mbele una baraka zoteee za USA
Sema SAFI SANAAAA.Safi
Naam. Mshahara wa Iran utajumuishwa kwenye pensheni yake.Mawakala wa Iran wanapokea mishahara mmoja baada ya mwingine.
Yeah. Hiyo ni demo tuu. Game lenyewe bado.Israel anaonesha jinsi ya kufanya
Na hapo ndio itakuwa kilio na kusaga meno.Soon Iran atafikiwa Kwa ufasaha kabisa, alafu kiwake
Mbona kama umepaniki bro? Tulia, andika taratibu tutaelewa tuNyie mizwazwa tim upinde mix jehova mnajua kwann Israel kaenda kupiga Yemen mnajua Telaviv jana ilipigwa vibaya na Haouth y Yemen kwaiyo iyo Israel ndio wanalipiza kisas cha jana usiku. nyinyi amfatilii habari kazi mapambio Uwongo kumtukuza muuni wenu mkimwita mungu yani mpaka sasa amjui kuwa Telaviv ilipigwa usiku w jana kutokea Yemen. Ebdeleeni kusubili Habari kutoka BBC au redio mchungaj kibelenge w vinena. Nimechunguza jumbe zeni nyote mlikuwa amjui kinachoendelea endeelen kumsifu bwana wenu!!!! Anatenda miujiza japo miujiza kaigiza Mchungaji ili sifa apewe bwana wenu!!!!! Kisha yeye mchungaj akabe maokoto kiwepesi!!!! Mijinga ndio waliwao mjin shule endeleen kusifu.munabarikiwa sana msisau kipika misifa kuwa Israel ndio mwanaume mwenye akili sana kuliko babazenu tena zayuni anyi wala wala awafi ata kuusu ushoga wanasingiziwa tu na kuuwa watoto nayo uwongo tu ata hati ya ICC ni shetan tu anamjalibu malaika wenu mtakatifu Netanyahu. Muwe na usiku njema Yanga Bingwa