Sanaa: Jeshi la Israel Lafanya Mashambulizi ya Anga Nchini Yemen

Sanaa: Jeshi la Israel Lafanya Mashambulizi ya Anga Nchini Yemen

Ilipigwa jana,ni wazi kuripoti habari kama hiyo ndani ya israel ni jinai, habari hizo hutolewa na IDF tu
Kupigwa ni kawaida kwenye vita
Ila unaangalia damage
Gaza ukipaona uhitaji kuuliza mara mbili kwa ule uharibifu same kwa syria

Ukiangalia tel aviv, jerusalem bado panapendeza hapana uharibifu kama gaza
 
Ni muda Sasa jw kwenda huko kuzuia uhuni wa israel.kila sehemu wao wanavuruga amani.
Hapana. Hawavurugi Amani kila sehemu bali wanawaadabisha wahuni kama hao Houthis. Inakuwaje kakikundi ka kigaidi kanathubutu kuzuia njia eti watu wasipite?? Jinga sana. JW hawawezi kwenda huko kujiingiza katika maujinga ya Kobaaz.
 
Nyie mizwazwa tim upinde mix jehova mnajua kwann Israel kaenda kupiga Yemen mnajua Telaviv jana ilipigwa vibaya na Haouth y Yemen kwaiyo iyo Israel ndio wanalipiza kisas cha jana usiku. nyinyi amfatilii habari kazi mapambio Uwongo kumtukuza muuni wenu mkimwita mungu yani mpaka sasa amjui kuwa Telaviv ilipigwa usiku w jana kutokea Yemen. Ebdeleeni kusubili Habari kutoka BBC au redio mchungaj kibelenge w vinena. Nimechunguza jumbe zeni nyote mlikuwa amjui kinachoendelea endeelen kumsifu bwana wenu!!!! Anatenda miujiza japo miujiza kaigiza Mchungaji ili sifa apewe bwana wenu!!!!! Kisha yeye mchungaj akabe maokoto kiwepesi!!!! Mijinga ndio waliwao mjin shule endeleen kusifu.munabarikiwa sana msisau kipika misifa kuwa Israel ndio mwanaume mwenye akili sana kuliko babazenu tena zayuni anyi wala wala awafi ata kuusu ushoga wanasingiziwa tu na kuuwa watoto nayo uwongo tu ata hati ya ICC ni shetan tu anamjalibu malaika wenu mtakatifu Netanyahu. Muwe na usiku njema Yanga Bingwa
Mbona kama umepaniki bro? Tulia, andika taratibu tutaelewa tu
 
Back
Top Bottom