Sanaa: Jeshi la Israel Lafanya Mashambulizi ya Anga Nchini Yemen

Israel kakutana na majeuri anapiga lakin wapi
 
israel dawa yake ipo inachemka angejua angetafuta amani kwa kuwa the hell is upon him
 
Houthi wataona moto toka angani na watamalizwa kabisa, ni hatari itakuwa
 
Houthi wataona moto toka angani na watamalizwa kabisa, ni hatari itakuwa
Wanashabikia jambo ambalo ni la hatari kwao wenyewe. Hawajamjua huyo mwamba vizuri. Ngoja liwapate la kuwapata ndo watajua walikuwa hawajui.
 
Hawa wauothi wakishambulia wao ni halali ila Israel akijibu ni ukiukaji wa haki so difficult
 
Hawakuoneshi palipopigwa,kule mpakani na Lebanon hizbullah wamepatwanga sana mpaka raia wakahama,ulishawahi ona picha zake
Hezbollah walishapelekwa uhamishoni kule ng'ambo ya mto Litani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…