Sanaa: Jeshi la Israel Lafanya Mashambulizi ya Anga Nchini Yemen

Sanaa: Jeshi la Israel Lafanya Mashambulizi ya Anga Nchini Yemen

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Jeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.

Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.

Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.

Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.

Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.

 
Jeshi la Anga la Israel(IAF) limefanya mashambulizi makali nchini YEMEN katika mji mkuu wa SANAA.

Mashambulizi hayo yameharibu kabisa Vituo vya kuhifadhi mafuta,Maghala ya Silaha,Vituo vya kufua umeme na Makao makuu ya jeshi la wanamgambo wa HOUTHI.

Msemaji wa waasi wa HOUTHI emetoa taarifa kuwa mpaka sasa watu 9 wameuawa na 38 kujeruhiwa na kulaani kwamba shambulizi hilo ni la Kinyama.

Mashambulizi hayo ya Israel ni kulipiza kisasi shambulizi lililofanywa na waasi hao ambalo mabaki yake yaliharibu shule moja.

Iran imelaani shambulizi hilo na kuliita la Kigaidi ambalo linakiuka sheria za kimataifa.

Mawakala wa Iran wanapokea mishahara mmoja baada ya mwingine.
 
FaizaFoxy unaona wenye akili wanavyofanya mambo yao bila kukurupuka?
Simba akimlenga mnyama amtakaye kwenye kundi technique ya kwanza anahakikisha anam-separate kwanza ili shughuli iwe rahisi.

Akisha separate, focus inakuwa ni huyo huyo hata mwingine ajipendekeze hana time naye kwa wakati huo; atafikiwa wakati mwingine! The same approach is applied by the Jews.
 
Simba akimlenga mnyama amtakaye kwenye kundi technique ya kwanza anahakikisha anam-separate kwanza ili shughuli iwe rahisi.

Akisha separate, focus inakuwa ni huyo huyo hata mwingine ajipendekeze hana time naye kwa wakati huo; atafikiwa wakati mwingine! The same approach is applied by the Jews.

FaizaFoxy atakuambia Iran anamiguvu ambayo Israel hawezi kumpiga.

Anashindwa kuelewa Iran ni sawa na nyati Mkubwa mwenye pembe anayemtishia Simba.
Muda wowote atageuka kitoweo
 
Back
Top Bottom