Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

420 mil akati watanzania 80% Hawana bima ya afya kumbe hii serikali ni kichwa ngumu na wanauwezo wa kutulipia bima..badala waumize kichwa bima tunapataje wao ni kufanya madudu yasio na msingi
 
Alafu million 400 inajenga sanamu la marehemu

SHAME IGNORANT REPUBLIC OF TANZANIA
 
Hii nchi ina laana nasema tuna laana

Swala la afya tunategemea wafadhiri Ila pesa ya kujenga sanamu tunayoo

Aliyelaani hii nchi amekufa

Yaani hatuna Serikali.
 
Hii nchi ina laana nasema tuna laana

Swala la afya tunategemea wafadhiri Ila pesa ya kujenga sanamu tunayoo....
Afadhali tujenge chuo Cha VETA kupunguza tatizo la ajira. Sanamu inachakaa lakini elimu na maarifa hurithiwa toka kizazi kimoja Hadi kingine.
 
Kuna hoja hapo, mtoa wazo la sanamu Mungu anakuona.
 
Hata mitungi ingenunuliwa, bado mngesema kuwa hiyo mitungi imenunuliwa kwa kodi za watanzania kwahiyo hakuna la ajabu. Zilijengwa hospital na shule mkalalamika kuwa serikali imejenga hospital na shule bila kuangalia swala la miundombinu ambayo inahusisha barabara.

Zilipojengwa barabara mkalalamika tena kuwa hamtaka maendeleo ya vitu kama vile shule, hospital, barabara nk, nyinyi mnahitaji tu ya watu. Kwahiyo sometimes serikali inabidi ifanye kile inachoona ni sawa tu kufanyika.
 
Unaumwa
 
Hivi Sanamu la mwendazake litawekwa lini mtaani, ili tukamalizie hapo hasira zetu kwa KULIPOPOA NA MAWE yakutosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…