SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hiyo ni Babeli mkuu. Utawala uliofitinikaNgoja nimuulize Mungu wa mbinguni hii maana yake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni Babeli mkuu. Utawala uliofitinikaNgoja nimuulize Mungu wa mbinguni hii maana yake ni nini?
Sanamu la baba wa ubatizo 🐼Hiyo ni Babeli mkuu. Utawala uliofitinika
Jifunze kutumia simu janjaHii nchi nayo, mityme qalikuja kuvunja nasanamu qao wsnstuchobgea masanamu.
Na masanamu yao yatafanana nao .Lijengwe jipya
Embu soma tena ulichoandika uone kama kinaendana na andiko langu.Uhuru, uzalendo na demokrasia ndio vinatoweka hivyo Tanzania, CCM na mama wajitafakari.
Umeshaanza zile ngonjera zako. Huyo ni baba wa Taifa.🤣🤣🤣Sanamu la baba wa ubatizo 🐼
Kiroho ni anguko la chama chake limewadia.. Save This postNdugu zangu Watanzania,View attachment 3102307View attachment 3102308
😂😂😂Umeshaanza zile ngonjera zako. Huyo ni baba wa Taifa.🤣🤣🤣
Kichwa chako ndio mnara wa Babeli 😀😀Hiyo ni Babeli mkuu. Utawala uliofitinika
Kuna kilevi umeanza kutumia siku hizi,mbona typing errors nyingi sana siku hizi siyo kawaida yako. Hivi kungumanga zinaleta stimu?Hii nchi nayo, mityme qalikuja kuvunja nasanamu qao wsnstuchobgea masanamu.
Ni bora lilivyovunjika vunjika.
Hiyo laana yao itawarudia wenyewe.
Endeleeni kuweweseka hivyo hivyo wakati Mama akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania.Wazee wa kinyamwezi wamesema hiyo ni ishara mbaya sana kwa CCM. Safari hii CCM inakwenda kumfia Samia.
Wewe endelea na kazi zako za masuala ya uganga na Ramli.Kiroho ni anguko la chama chake limewadia.. Save This post
Huwezi kuelewa wewe mtu wa matunguli tuKichwa chako ndio mnara wa Babel
Muulize Mwenyewe 😀Lile la Kigwangalla vipi??
Uwe na adabu dogo.Huwezi kuelewa wewe mtu wa matunguli tu
Kiroho ni anguko la chama chake limewadia.. Save ThisNdugu zangu Watanzania,View attachment 3102307View attachment 3102308
Karibu Msata Kilingeni upate tibaWewe endelea na kazi zako za masuala ya uganga na Ramli.