Sanamu La Mwalimu Nyerere Laanguka Na Kuvunjika Mkoani Tabora.Watu Washikwa na Taharuki na kusikitika Sana

Sanamu La Mwalimu Nyerere Laanguka Na Kuvunjika Mkoani Tabora.Watu Washikwa na Taharuki na kusikitika Sana

Wazee wa kuongeza sifuri, wanaumbuka mdogo mdogo. Hutasikia new york liberty statue limeanguka jiulize kwa nini.
Kwani wewe unafikiri sanamu hiyo ilijengwa Mwaka gani? Ndio maana uchunguzi unataka kufanyika ili kubainisha chanzo cha kuanguka na kuvunjika kwa sanamu hilo.
 
Kiroho ni anguko la chama chake limewadia.. Save This

Karibu Msata Kilingeni upate tiba
Mtasubiri sana hizo ndoto zenu za mchana baada ya kulewa. CCM itaendelea kuwepo madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu na huwezi ukaitenganisha CCM na Taifa letu
 
Inaonesha alievunja sanamu ana hasira na Nyerere kutokana na umaskini sasa kaamua kupiga sanamu lake!!
 
Nkienda kama Mshana
Kwa jicho la ulimwengu wa pili hii ni ishara..
 
Back
Top Bottom