Sanamu La Mwalimu Nyerere Laanguka Na Kuvunjika Mkoani Tabora.Watu Washikwa na Taharuki na kusikitika Sana

Sanamu La Mwalimu Nyerere Laanguka Na Kuvunjika Mkoani Tabora.Watu Washikwa na Taharuki na kusikitika Sana

Hiyo ni dalili za tanzania kusambalatika pande 3 chini ya ccm ya mjalaana samia ...kitendo cha sanamu kuvinjika kimemfurahisha sana samia maana anamchukia Nyerere na Karume kuliko JPM
Wewe ndiye mwenye laana
 
Hii nchi nayo, mitume walikuja kuvunja masanamu
Wajinga ndiyo waliwao wanatuchongea masanamu.

Ni bora lilivyovunjika vunjika.

Hiyo laana yao itawarudia wenyewe.
Wewe huipendi Tanzania, Mungu hupitia kwa wanadamu.
 
Hahaha ccm watasema vijana wa CHADEMA wote wakamatwe walisaidie jeshi la polisi. Ni hili nalo waende wakaliangalie.
 
Is it symbolizing the intolerable cruelty deeds, intimidating and the related thrilling, filthy deeds existing in our contemporary society,the country that Nyerere participated fully on it's inauguration, why today and not yesterday or waiting for tomorrow?
 
Shocking hypocrisy.
Watu hapa wanataka kunishambulia.
Halafu kuna mtu hypocrite atasema," Nani hawa hawana uzalendo wanaivunja sanamu ya Mwalimu Nyerere?".
This is nothing but hypocrisy.
Mimi nataka hizo sanamu zote zivunjwe.
 
Back
Top Bottom