Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
1 Samweli 5 (Biblia Takatifu)Ndugu zangu Watanzania,View attachment 3102307View attachment 3102308
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³ Na watu wa Ashdodi, walipoamka alfajiri siku ya pili, kumbe! Dagoni imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana. Wakaitwaa Dagoni, wakaisimamisha mahali pake tena.
⁴ Hata walipoamka kesho yake asubuhi, kumbe! Dagoni ilikuwa imeanguka chini kifudifudi, mbele ya sanduku la Bwana; na kichwa chake Dagoni na vitanga vya mikono yake vyote viwili vimekatika, vipo vimelala kizingitini; Dagoni ikasalia kiwiliwili chake tu.