Yameniudhi, mkiamua kuandika kiswahili andikeni kiswahili na sio mnachanganya.
Tangu lini umewakuta waingereza, waarabu, wagiriki au waitaliano wakichanganya lugha katika mazungumzo yao?
Nionyeshe mtu aliyevaa kama Sanchoka kanisa lolote wewe abdoolKama hawavai hivyo wale wanaoingia hivyo KANISANI ni kwa KUMPENDEZA NANI?
Sent using Jamii Forums mobile app
allah ukurutu,haya pigeni madufu sasa tuone.Wewe nae hata jina la jukwaa kinakushinda kukupa muongozo? Hapa ni "swagger" za Swanglish kwa kwenda mbele.
Tupishe huko tujifaraguwe.
Ma shaa Allah toto la kichagga limeiona Nuru ya Allah.
Kigoma ujiji
We don't care go drink your camel pissWaone wapiga vinanda wanaojielewa...
Wapo wengi sana tu,,,tena hapo alikuwa katoka KANISANI,,,,na kama KANISA LINAOZESHA NDOA ZA MASHOGA hilo la MAVAZI mbona Dogo sana.Nionyeshe mtu aliyevaa kama Sanchoka kanisa lolote wewe abdool
Kuna mtu hapo analainishwa ili apigwe hela vizuri.
Sasa sijajua hijab anavaa msimu wa Ramadhani au baada ya Ramadhani itakuwa mwendo wa kutuonyeshea msambwanda.
DuhKwahyo MKUU ulitaka UPAKULIWE WEWE?njoo Inbox basi TUYAJENGE,,,NIKUPAKUWE
Sent using Jamii Forums mobile app
Lina tko balaaaaWewe nae hata jina la jukwaa kinakushinda kukupa muongozo? Hapa ni "swagger" za Swanglish kwa kwenda mbele.
Tupishe huko tujifaraguwe.
Ma shaa Allah toto la kichagga limeiona Nuru ya Allah.
Kanisa gani Tanzania limefungisha ndoa za mashoga we fala?Wapo wengi sana tu,,,tena hapo alikuwa katoka KANISANI,,,,na kama KANISA LINAOZESHA NDOA ZA MASHOGA hilo la MAVAZI mbona Dogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
KIKI KAMA KIKI ZINGINE, UNAWEZA KUTA KAPATA BWANA HAPO WA KIISLAMU, WAKIACHANA ANARUDI TENA
Wanachezea tu dini hawa kesho kutwa arushe makalio hewani na vichupi kesho kutwa anarudi kuwa mkristo tenaa
Kuna m2 kashamdanganya kua utamuoa...kumbe ni target 2 za kumtibua vuzi....[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu hapo analainishwa ili apigwe hela vizuri.
Sasa sijajua hijab anavaa msimu wa Ramadhani au baada ya Ramadhani itakuwa mwendo wa kutuonyeshea msambwanda.
Duh na ule mtako,atakuwa kapata mume wa kiarabu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app