Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Unaandika Mashudu tu.

Kama in hivyo basi tumieni zile dawa zenu za kisunni kutibu Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeenda kusoma uarabuni wanakotawadha badala yake ukaenda kusoma Canada kwa makafiri.

Unafiki na Majivuno vitakumaliza wewe Ajuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaandika Mashudu tu.

Kama in hivyo basi tumieni zile dawa zenu za kisunni kutibu Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
AlhamduliLlah tena nakwambia kuna hiyo inaitwa habat souda, unachanganya na asali. Ukishindwa hiyonkukutibu ujuwe wewe ni kifo tu. Maana hiyo haitibu isipokuwa ugonjwa tu, na kifo si ugonjwa ni haki yetu sote.

Katafute habat soda changanya na asali ujikinge na Corona na kama una mgonjwa wako mponeshe kwa kumpa haba soda, anapona.

Madukanyiye ya dawa za kisunna ipo, tena Tanzania unapata ya mbegu kabisa. Bei kama bure tu.

Muone mwenzenu anasemaje kuhusu tiba ya kisunna hii iliyotolewa miaka zaidi ya 1400 iliyopita...

 
Yupo na Mwarabu moja hivi ana biashara zake hapo kariakoo, ngoja atindue mavi akiyachoka atamtimua kama mbwa...
Acha hizo unajuaje kila mwarabu anafanya mapenzi kinyume na maumbile btw hata weusi wamekuwa na tabia hiyo japo sio wote kama ilivyo kwa waarabu. Hiyo ni tabia ya mtu na sio tabia ya kabila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yupo na Mwarabu moja hivi ana biashara zake hapo kariakoo, ngoja atindue mavi akiyachoka atamtimua kama mbwa...

Aisifiae mvua imemnyea. Sikushangai.

Kumbe ule mchezo wenu wa Vatikano kwa papa kule umefika Kariakoo? Na wewe unaifata hukohuko, duh!Unasambaa huo kama Corona. Na Corona anao tu hawaachi kabisa, mnae tu.
 
Aangalie pia kuwa Mungu hadhihakiwi kama anachofanya ni masihara.Maana mapicha ya nusu uchi yaliobaki kwente pages za mitandao ya kijamii hayataacha kuichafua taswira yake kama hatayaondoa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Zile picha hawezi kuziondoa sababu ndio zinazompa kula na kumweka mjini.

We subiria mwezi huu wa Ramadhan upite,uone season mpya ya mipicha picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…