Saniniu Laizer aahidi kupata jiwe kubwa zaidi la Tanzanite na kuahidi kuiuzia Serikali kwa uzalendo

Saniniu Laizer aahidi kupata jiwe kubwa zaidi la Tanzanite na kuahidi kuiuzia Serikali kwa uzalendo

Sisi wenye sixth sense (macho matatu) tunaona kabisa Laizer anatumika kufanya Money laundering kupata pesa za uchaguzi.

Taasisi ya madini mnaingizwa chaka mkijua.

Kwaheli.
Jiwe linamtumia Laizer kuuza mawe menzie.

Wanajeshi waliopo huko wanamchimbia jiwe halafu jiwe anamtumia Laizer kuyauza mawe hayo
 
Hajaficha ila kauchungulia mwamba!
Nishakuwamchimbaji mgodi ukikaribia mwamba ile huwa ni siri ya mchimbaji tena wale wachache walioko mbele na tena uwe makini kweli kweli maana hata mwenzako mle anaweź kukutwanga na chuma au chepe maana ile huwa ni kama zali fulani kwa mchimbaji.mchimbaji akuambie naribia kupata jiwe?Thubutuuu
 
Huyo jamaa ana mawe mengi anauza matatu, anaipa serikali moja.
 
Nishakuwamchimbaji mgodi ukikaribia mwamba ile huwa ni siri ya mchimbaji tena wale wachache walioko mbele na tena uwe makini kweli kweli maana hata mwenzako mle anaweź kukutwanga na chuma au chepe maana ile huwa ni kama zali fulani kwa mchimbaji.mchimbaji akuambie naribia kupata jiwe???thubutuuu
Sasa saizi utamgonga chuma mwenzio kichwani wakati kuna JWTZ?
 
Ndo uzuri wa madini ukishauotea mwamba kila sururu na tindo unayopiga inatoka na mali. Safi sana Laizer piga kazi, pata pesa jenga nchi.
 
Sasa saizi utamgonga chuma mwenzio kichwani wakati kuna JWTZ?
Hivi huko chini shimoni nikaona umepata mzigo unaweka mfuko nikakutandika chuma cha kichwa nikachukua mzigo nikapanda zangu hadi juu watajua kam huko chini nishampeleka mtu kwa muumba wake watakaa wajue?

Alafu mgodi unanjia nyingi mle mle shimoni kama hujui njia unaweza potea huko huko mdani kwa ndani kingine naweza lipata leo nikaenda kulificha huko huko chini kwenye njia nyingine hadi isiku naamua kulitoa kulingana na upepo wa walinzi kuke juu kwani kuna siku mchimbaji kwa kuwa mshazoea unajipitia tu kama unavyoingia na kutoka gereji ya magari.
 
Hivi huko chini shimoni nikaona umepata mzigo unaweka mfuko nikakutandika chuma cha kichwa nikachukua mzigo nikapanda zangu hadi juu watajua kam huko chini nishampeleka mtu kwa muumba wake watakaa wajue?

Alafu mgodi unanjia nyingi mle mle shimoni kama hujui njia unaweza potea huko huko mdani kwa ndani kingine naweza lipata leo nikaenda kulificha huko huko chini kwenye njia nyingine hadi isiku naamua kulitoa kulingana na upepo wa walinzi kuke juu kwani kuna siku mchimbaji kwa kuwa mshazoea unajipitia tuu kama unavyoingia na kutoka gereji ya magari
Mkuu siku hizi migodi yote midogo ina uongozi sidhani kama hicho unachokiongelea kinawezekana tena kwa urahisi huo. Em fikiria mfano kitalu kina mwenye leseni, ndani ya eneo la leseni kuna watu wenye maduara(kama mwenye leseni hajaamua kuchimba mwenyewe na kuendesha kwa mwendo wa share 63 kwa 37). Na kwa kila duara linakuwa na mmiliki na vibarua wake na mlinzi(yuko answerable kwa mwenye leseni) na inspector(kukagua structure ya shimo na mali iliyomo) huyu ana report kwa wote, mwenye duara na mwenye kitalu.

So niambie kwa mlolongo huo wote ni vipi utamuua mwenzio isijulikane, kwanza kwa vibarua wenzio ulionao shimoni pili kwa mwenye duara tatu kwa inspector anaepaswa kuwa anazama shimoni mara kwa mara kukagua na mwisho mwenye leseni ambae ndo yuko answerable kwa serikali. Unahisi kweli unachokiwaza kinaweza kuwa rahisi kiasi hicho! Labda sio kwa awamu hii ilivorekebisha mambo aisee!

Wizi hua unafanyika ila mara nyingi ni majambazi wanakuja na silaha kabisa wanawateka kitu ambacho sioni kikitokea Merarani. Ni sawa na kwenda kuivamia kambi ya jeshi
 
Mchimbaji mdogo wa madini mh Laizer amesema anatarajia kupata mawe makubwa zaidi ya madini ya Tanzanite kwa sababu mwamba anaochimba sasa umekwenda chini sana.

Laizer ameahidi kuyauza Serikalini mawe hayo pindi atakapoyapata kwani yeye ni mzalendo wa kweli.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
Ameliona? Au Ni fr ....ma...y?
 
Mkuu siku hizi migodi yote midogo ina uongozi sidhani kama hicho unachokiongelea kinawezekana tena kwa urahisi huo. Em fikiria mfano kitalu kina mwenye leseni, ndani ya eneo la leseni kuna watu wenye maduara(kama mwenye leseni hajaamua kuchimba mwenyewe na kuendesha kwa mwendo wa share 63 kwa 37). Na kwa kila duara linakuwa na mmiliki na vibarua wake na mlinzi(yuko answerable kwa mwenye leseni) na inspector(kukagua structure ya shimo na mali iliyomo) huyu ana report kwa wote, mwenye duara na mwenye kitalu.

So niambie kwa mlolongo huo wote ni vipi utamuua mwenzio isijulikane, kwanza kwa vibarua wenzio ulionao shimoni pili kwa mwenye duara tatu kwa inspector anaepaswa kuwa anazama shimoni mara kwa mara kukagua na mwisho mwenye leseni ambae ndo yuko answerable kwa serikali.

Unahisi kweli unachokiwaza kinaweza kuwa rahisi kiasi hicho! Labda sio kwa awamu hii ilivorekebisha mambo aisee!
Wizi hua unafanyika ila mara nyingi ni majambazi wanakuja na siraha kabisa wanawateka kitu ambacho sioni kikitokea Merarani. Ni sawa na kwenda kuivamia kambi ya jeshi
Unachowaza hakipo hivyo ile migodi ya mererani ni mirefu zaidi ya mita 200 kwenda chini na njia sio mnyooko eti ukichungulia utaona mwisho.

Hiyo mle kuna migodi hadi mingine ina mitobozano chini kwa chini (kunawekwa grill kama lile la dirishani)hivyo pale juu mwanzo mwa shimo kuna kuwa ma kijumba(kama unavyoona choo)hivyo wale wazamaji wanaweza zama wakakaa hata siku 3 hadi 5 humo humo chini na kila kitu humo humo kama ni kitu kama sigara au bangi au batery za tochi, maji ya kunywa au balbu kama imeungua unamtuma nyoka (nyoka ni wale vijana wadogo dogo) hivyo kinachoendelea huko chini hao walinzi hapo juu ni ngumu sana kujua
 
Mchimbaji mdogo wa madini mh Laizer amesema anatarajia kupata mawe makubwa zaidi ya madini ya Tanzanite kwa sababu mwamba anaochimba sasa umekwenda chini sana.

Laizer ameahidi kuyauza Serikalini mawe hayo pindi atakapoyapata kwani yeye ni mzalendo wa kweli.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!
Hapa tunachezwa shere si bure
 
johnthebaptist,

Hii ni habari mbaya kwa vyama pinzani - hawakutaka mafanikio kwenye madini (ukuta waliupinga kabla hujajengwa na baada ya kujengwa waliubeza)
 
johnthebaptist,

Sisi wenye sixth sense (macho matatu) tunaona kabisa Laizer anatumika kufanya Money laundering kupata pesa za uchaguzi.

Taasisi ya madini mnaingizwa chaka mkijua.

Kwaheli.
Unatoa hela benki unapeleka wapi?
Jibu TRA wanalo. Hawezi kujificha ni public figure itakuwa public.
 
Mchimbaji mdogo wa madini mh Laizer amesema anatarajia kupata mawe makubwa zaidi ya madini ya Tanzanite kwa sababu mwamba anaochimba sasa umekwenda chini sana.

Laizer ameahidi kuyauza Serikalini mawe hayo pindi atakapoyapata kwani yeye ni mzalendo wa kweli.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Taifa la wajinga [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Isijekuwa ameshayapata, ameyaweka ndani anayatoa tu kidogo kidogo, ndio ameanza miezi hii kuyatoa, bado yamejaa geto
Huo ndio ukweli hata hili la tatu ni baada ya kufinywa wamelitoa
 
Back
Top Bottom