Saniniu Laizer aahidi kupata jiwe kubwa zaidi la Tanzanite na kuahidi kuiuzia Serikali kwa uzalendo

Asitufokeee sisi
 
Huyu jamaa anajabali analikwangua kidogo kidogo. Ndyo maana mawe anayotoa yanastructure inayofanana. Huyu akibanwa anaweza kuja na jiwe la kubebwa na fuso.

Mtu anasbilion 7 anasema anatarajia kujenga mall unadhani mall ni kitu ya mchezo?
 
Mtu anayechimba kwa mashine mita zaidi ya 150 chini yaani uwanja wa mpira na nusu unamwita mchimbaji mdogo?

Afu we mzee Laiser hayo mawe upate wewe tu wengine hapana!!

Au uliyaficha ardhini nn?
 
Kuna skendo inaendelea huku hichi mnachoambiwa sivyo mambo yalivyo

"KAKA" alipewa Money Laundering kimya kimya, hizo hela zinaenda kwenye kampeni ya haya majitu
Kwanini basi wasingeyauzia kwenye open market ambayo bei zake zipo kati ya mara 20 hadi mara 50?
 
Huyu jamaa anajabali analikwangua kidogo kidogo. Ndyo maana mawe anayotoa yanastructure inayofanana. Huyu akibanwa anaweza kuja na jiwe la kubebwa na fuso.

Mtu anasbilion 7 anasema anatarajia kujenga mall unadhani mall ni kitu ya mchezo?
Mall tayari ashaijenga muda tu mpk lift ilishawekewa,ni kumalizia vitu vya hapa na pale basi.
 
Ni uzalendo kwa nchi yake!
Baadae Serikali itayauza open market?
Nimesikia India wanayalinganisha na madini yakufikirika wanayaita jina la Vabrium kwa ukubwa wake na rangi zake,kwenye cinema maarufu ya Marekani. Akiyapeleka Hollywood huko California tunaweza kupata dollars za kujenga shule za msingi 2000
 
Tutagemea manyani kutoa mawe makubwa kupita hayo mda sio mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…