Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Nimekuwa nikimfatilia toka anaanza kupewa wilaya ya Hanang huko Manyara na sio Mbulu ,but outputs ni kidogo sana na creativity hakuna kitu hapo.Muache aendelee kubebwa tu lakini pia kwenye maisha omba bahati.Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Nilisikia hivi majuzi aligumdua wezi wa mafuta huko kigamboni hivyo bila shaka ana impact, atasaidia hapa kibaha TC kero kibao na madudu mengi mfano kuna jiran yangu aliuziwa kiwanja na halmashauri kikiwa kimepitiwa na bomba la MajiNimekuwa nikimfatilia toka anaanza kupewa wilaya ya Hanang huko Manyara na sio Mbulu ,but outputs ni kidogo sana na creativity hakuna kitu hapo.Muache aendelee kubebwa tu lakini pia kwenye maisha omba bahati.
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Bastora inahusika kwa mbaliYule jamaa mweusi mwenye mbavu nene
Unaposema alikuwa 'Single' unataka kusema bado Bi. Sarah ni 'Bikra' na 'habanduliwi' kabisa Mkuu au?Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Ni mali ya Mzee wa Piko lakini pia Mzee wa tahsisi ya rushwa aliyetolewa hivi karibuni alikuwa anatumia pia mara kwa maraAlikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Ndie mtu pekee kifo cha Jiwe kimemuuma sana. Kwasababu hatauza sura tenaYule jamaa mweusi mwenye mbavu nene
NDIOUnaposema alikuwa 'Single' unataka kusema bado Bi. Sarah ni 'Bikra' na 'habanduliwi' kabisa Mkuu au?
Na kwasasa marital status yake ipoje Mkuu?Alikuwa mtumishi Tume ya Haki za binadamu kama Investigation officer, then akaacha kazi akaingia kwenye siasa mara akateuliwa mbunge viti maalumu awamu ya nne, awamu ya tano akawa DC mbulu then kigamboni , now kibaha. Ana masters ya PA. Mpaka anaacha kazi anaingia bungeni alikuwa single.
Huyu mama ni jembe saaaaana mkuu,tena sana ilipaswa hata apewe ukuu wa mkoa,hii inshu ambayo mkuu wa mkoa Dar anaipigia kidedea ya wizi wa mafuta kigamboni na pembezoni ni yeye aliibua na alitishiwa maisha saana,ni mfuatiliaji mzuri sana na mtu wa dini kiufupi mmepata jembe,anafikika na anasikiliza na kutatua kero za wananchi ,Nikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.
Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.
Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?
Marital status yake?
Je, ni mlipukaji?
😳...Du!.Ana mdomo careless na vinasaba vya Usabayasabaya! Ni bora liende tu, sio creative!
Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
Yeah. Imethibitika hivyoUnaposema alikuwa 'Single' unataka kusema bado Bi. Sarah ni 'Bikra' na 'habanduliwi' kabisa Mkuu au?
Kumridhisha mwanadamu ni jambo gumu sana, hizo barabara zisigwe jengwa mngelalamika tena. Hapa unauliza mkuu wa mkoa ameifanyia nini pwani, jibu ni amejenga barabara za lamiKibaha na Pwani kwa ujumla hawaja wahi kupata kiongozi mwenye impact tangu Sarungi aondoke.
Mfano huyu mkuu wa mkoa aliyeondoka Ndikilo ameifanyia Nini Pwani?
Wamejenga barabara za lami ambazo hazipiti watu, pikipiki Wala magari. Zile barabara maeneo ya kituo Cha polisi wilaya wakati barabara ya Soga iliyo busy kuliko barabara ya segera Chalinze Ni ya vumbi.
Niambia Mwantumu ameifanyia Nini Pwani.?
Kibaha town mpaka leo majengo Ni shacks hakuna nyumba ya maana.
Hilo jengola TRA walilojengewa hata wenyewe wameshindwa kulihamia. Utafikirililijengwa na watoto wa nursery school. TRA wameona Bora waendelee kupanga jengo la NSSF kuliko kuhatarisha Maisha ya mlipakodi
Na ule wizi wa mafuta kigamboni alioubai unaitwaje? au ndio zegwe juu yake unaanza?Ana mdomo careless na vinasaba vya Usabayasabaya! Ni bora liende tu, sio creative!
Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
HAfisa Kipenyo atakua
Hajawahi penda u DC Yeye ndoto yake ni UBUNGE TU, 2020 aliogopa biti la Magufuli , Otherwise na yeye ange resign akagombee ubungeNikiwa kama mkaazi wa Kibaha TC nimeona hili jina la DC mpya Bi Sara Msafiri lakinI sioni CV yake.
Embu mnaomfahamu na kumjua leteni Info.
Je, na yeye ni UVCCM kalamba shavu la uteuzi?
Marital status yake?
Je, ni mlipukaji?
Kweli eh aisee nitajitahidi nimuoneHuyu mama ni jembe saaaaana mkuu,tena sana ilipaswa hata apewe ukuu wa mkoa,hii inshu ambayo mkuu wa mkoa Dar anaipigia kidedea ya wizi wa mafuta kigamboni na pembezoni ni yeye aliibua na alitishiwa maisha saana,ni mfuatiliaji mzuri sana na mtu wa dini kiufupi mmepata jembe,anafikika na anasikiliza na kutatua kero za wananchi ,