Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sara sio wa mchezomchezo kabisa .
Kumbe hii nchi wapigaji hawajanza leo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe wewe ni mtu wa kitambo mkuu, nisaidie kazi mimi kijana wa siku hizi, nimehitimu masomo ya afya.Story hii imenikumbusha mbali Sana
Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halamshauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road
Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
Shikamoo dada, nilikuwa sekondari form threeStory hii imenikumbusha mbali Sana
Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halamshauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road
Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
Kumbe wewe ni mtu wa kitambo mkuu, nisaidie kazi mimi kijana wa siku hizi, nimehitimu masomo ya afya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nashukuruNimekwishastaafu tangu 2011, Siku hizi ajira Za Public Hospital zote zinasimamiwa Na SeKretariet ya Ajira ya Utumishi!
Story yanikumbusha mbali kidogo, mwaka huo ndio nilikuwa natimiza mwaka mmoja tokea niajiriwe na shirika la posta na simuStory hii imenikumbusha mbali Sana
Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road
Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
Shikamoo bibi.Nimekwishastaafu tangu 2011, Siku hizi ajira Za Public Hospital zote zinasimamiwa Na SeKretariet ya Ajira ya Utumishi!
Uharo kweli wewe kengeBavicha wanapenda sana stori za kupiga waambie wafanye kazi Sasa; lazima wakuite dikteta