Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
Kitambo sana, hii taarifa nadhani itakuwa imetolewa na kitengo.... Zimetoka kwenye archive maktaba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafuu Bi Sarah alikua na mpigaji msomi kdgo bwana toroha aliemwongoza mpka Europe, Justin Kasusura yeye hakuona hta mwanga wa kupenya afike hta Mozambique! Jinga kbsa
Sent using Jamii Forums mobile app
bado yupo hai,anaishi maeneo ya kawe,eneo maarufu linaitwa kwa joseph,zamani palijulikana kwa jina la kwa simbaulanga kutokana na tukio hilo,nadhani alijiwekeza kidogo maana ana nyumba nne katika mtaa mmoja!Alishaachiwa huru zaman sana akawa anaishi mwenge hapo..sijui kama yu hai bado..
Hapana ni taarifa inayojulikana Sana watu wengi tu kwasababu kesi ilikuwa wazi tu na magazeti yaliandika sanaKitambo sana, hii taarifa nadhani itakuwa imetolewa na kitengo.... Zimetoka kwenye archive maktaba
Nyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjiniJe huyo Bi. Sarah alitumikia kifungo chake chote?
Nyerere alimsamehe vipi wakati aling'atuka mwaka 1985 na tukio hili lilitokea mwaka 1987?Nyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjini
sorry it was Mwinyi,nimechanganya madesaNyerere alimsamehe vipi wakati aling'atuka mwaka 1985 na tukio hili lilitokea mwaka 1987?
Ok hapo sawa.sorry it was Mwinyi,nimechanganya madesa
hebu tiririka hapa mkuu
Hii msuba ya wapi chief....Mapungufu ya akili ya kufundishwa (na Toroha) hayo!
Mara nyingi shetani hufanikisha hila zake kwa kutumia mwanamke kama chambo. This time aliamua kumtumia *mwanamme (Toroha)!
* = Hivi neno sahihi hapa ni mwanamme au mwanaume? Kama ni mwanaume, kwa nini “mwanamke” nayo basi isiwe “mwanauke”?
Kweli kabisa ni habari zilizoiteka vichwa vya habari vya magazeti na redio za wakati huo mfano radio tanzania, idhaa zote ya taifa na ile ya external service wakti huo, na pia magazeti maarufu pekee yalokuwapo kipindi hicho kama vile uhuru mzalendo daily news mfanyakazi na kiongozi, hili kiongozi kama sikosei lilikuwa ni la madhehebu fulani ya dini.Hapana ni taarifa inayojulikana Sana watu wengi tu kwasababu kesi ilikuwa wazi tu na magazeti yaliandika sana
Julius Mtatiro kakopi hii Sred,au we ndo Mtatiro?,
Huu ndio mkasa wa Bi. SARAH MARTIN SIMBAULANGA.
View attachment 986810View attachment 986812
Sent using Jamii Forums mobile app