KingKong77,
You must be a person whom i know. By those days I was a co-work with simbaulanga
You must be a person whom i know. By those days I was a co-work with simbaulanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado yupo hai,anaishi maeneo ya kawe,eneo maarufu linaitwa kwa joseph,zamani palijulikana kwa jina la kwa simbaulanga kutokana na tukio hilo,nadhani alijiwekeza kidogo maana ana nyumba nne katika mtaa mmoja!
Kuna paragraph kamtaja mama Julie Manning akitoa tamko 1.1.1977!asante kwa historia ya mkasa wa kusisimua. rekebisha tarehe humo katikati hasa kwenye segment ya mahakama. kuna sehemu ume-rewind (nov. 1987 to jan. 1987) tukio likakosa mwelekeo japo inaeleweka.
Hifikepunye Pohamba kumbe ulishastaafu na baada ya kipindi chako cha uraisi wa Namibia kuisha wewe ni kaka yetu shikamooNimekwishastaafu tangu 2011, Siku hizi ajira Za Public Hospital zote zinasimamiwa Na SeKretariet ya Ajira ya Utumishi!
Rekebisha kidogo Nyerere alistaafu uraisi 1985 wizi huu ulitokea 1987 na hukumu ilifanyika 1988 utawala wa baba yetu mh mzee ruksaNyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjini
Hahaha pole hakuna asiyekosea.Hapa ni kama vile umeibia Kwa mwenzako uka copy hadi namba yake ya mtihanisorry it was Mwinyi,nimechanganya madesa
Duh, shikamoo dada,........nilikuwa primary madarasa ya chini chini....habari ya Sarah ilivumaga sana by that timeShikamoo dada, nilikuwa sekondari form three
Babu kama hutajali ninaomba nikufuate PM uwe mentor wangu katika mambo mbali mbali.Nimekwishastaafu tangu 2011, Siku hizi ajira Za Public Hospital zote zinasimamiwa Na SeKretariet ya Ajira ya Utumishi!
Ingekua mchagga uharo ambao ungeruka humu sio wa kawaida
Then lazima tungeona jina hapo Kati ya waliokamatwa.Pengine hayo Mawazo alipewa Na Mangi
Kwenye Tasnia ya Wizi Wachaga nawakubali Sana
Duh umekula chumvi na wewShikamoo dada, nilikuwa sekondari form three
Sara alikuwa na akili ya kuiba ila hakuwekeza kwenye kujilinda.kakamatwa kizembe hata ajakula sanaa matunda ya Kazi yake.