Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Aiseee SARH ni kisu dadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uStory hii imenikumbusha mbali Sana
Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road
Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
Umri umekwenda mremboShikamoo dada, nilikuwa sekondari form three
Kumbe wewe umekuwa sehemu ya mateso ya watanzania kwa muda mrefu
u
Hahahaa kumbe na wewe mhenga? Mi bado umri wangu ulikuwa single digit!! Na bado naitwa babu!Story hii imenikumbusha mbali Sana
Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road
Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
sina mgombea urais mkuu,fanya hima utubu kwa M(m)ungu wakoHata Mgombea wako wa Urais 2010 na 2015 tulikuwa nao kabla hawajaja huko kupigiwa deki barabarani
Sara alikuwa na akili ya kuiba ila hakuwekeza kwenye kujilinda.kakamatwa kizembe hata ajakula sanaa matunda ya Kazi yake.
Izo zingine ziko wapi zionyesheMhariri futa uzi huu maana zipo nyuzi 2
Nahis kenya zamani ilikuwa mbaliDaahh Huyo bimkubwa kweli noma ... nampa SHIKAMOO bi Sarah..
Ujinga walio ufanya ni kupiga pesa halafu muda mfupi wakaanza kujirusha " kabla hata tukio halijapoa ..
Yaani walikwenda kujificha kenya karibu hapo " Lol
Sent using Jamii Forums mobile app