Shikamoo na wew piaDuh, shikamoo dada,........nilikuwa primary madarasa ya chini chini....habari ya Sarah ilivumaga sana by that time
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mzima,vip upo kitrngo gan nije kukutembelea japo nipate connectiin kam hautojal
Yupo mtaani kawe! Bintiye Blandina ana miliki Pub inaitwa Mashauzi! HehehPicha tafadhali na kwasasa wako wapi hawa watu dah
Mkuu njoo mashauzi upate balimi mbili!Nyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjini
Marhaba mdogo wangu........kama sio mwanangu [emoji28][emoji28][emoji28]
Dah aiwish nimuone katika uzee wake ï hope mwanae yumo humu Au mashefa wake watamwambia mama yako aliishi miaka mingi mbele ya wakatiYupo mtaani kawe! Bintiye Blandina ana miliki Pub inaitwa Mashauzi! Heheh
Mdogo wako tu ila nilitaman na mimi niwe wa zaman,,nisingekutana na izi shida za ajiraMarhaba mdogo wangu........kama sio mwanangu [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
1974 mwalimu si alikuwa bado ameshika usukani,upigaji umeanza mda...Report ya WB na IMF kuhusu kuficha Fedha Kwenye mabenki ya nje kwa Watumishi wa Umma Tanzania tumeanza kuficha Fedha hizo 1974
Naomba namba za blandinaNyerere huyo huyo alikuja kumsamehe baadae,mwanae wa mwisho Blandina alikuwa ananyonya kipindi hicho,hivyo alikaa naye rupango,kwa sasa ni mdada wa mjini
Nilisha acha kuajiriwa nipo kwenye misheni town tu.Mimi mzima,vip upo kitrngo gan nije kukutembelea japo nipate connectiin kam hautojal
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu izo izo kwan ichi kipind mkuu ata ukinambia nije kukusaidia kaz kidogo ili akil ikae sawa mbn haina shida